GRACE KIRUNDWA
New Member
- Jun 16, 2010
- 2
- 0
habari zenu,
ninaomba msaada wa kisheria
* kwa mfano umeolewa ukamkuta mwanamume na nyumba aliyoridhi kwa mzazi wake .
kama kiwanja ni kikubwa ukijenga nyumba nyingine ni kosa? . Je utakuwa na haki huko baadaye
asante sana
ninaomba msaada wa kisheria
* kwa mfano umeolewa ukamkuta mwanamume na nyumba aliyoridhi kwa mzazi wake .
kama kiwanja ni kikubwa ukijenga nyumba nyingine ni kosa? . Je utakuwa na haki huko baadaye
asante sana