News Alert: Msaada wa kisheria kuhusu talaka na kugawana Mali ya ndia

Mkoyongi

Member
Apr 27, 2007
36
17
Wanajukwaa naomba ushauri wa kisheria. Nilinunua kiwanja kabla ya kuwa n.a. mchumba. Baadae nikapata mchumba lakini kabla hatujafunga ndoa nikawa nimejenga nyumba hadi kiwango cha Renta. Baadae tukafunga ndoa nikaendelea kuimalizia taratibu. Kukatokea mfarakano kwenye ndoa hadi kazaa nje ya nje n.a. hatuishi nae. Sasa amefungua kesi ya kuomba talaka. Sababu za kuomba talaka eti mimi ni mzinifu wakati hajawahi kunikamata lakini yeye ndo kazaa nje ya ndoa. Pili ananadai ndo kajenga nyumba.je hili Swala limekaaje kisheria?
 
Nina uhakika una documents zote za kununua kiwanja na wakati wa kujenga, utaithibitishia mahakama kuwa ulijenga kabla ya ndoa.
 
Wanajukwaa naomba ushauri wa kisheria. Nilinunua kiwanja kabla ya kuwa n.a. mchumba. Baadae nikapata mchumba lakini kabla hatujafunga ndoa nikawa nimejenga nyumba hadi kiwango cha Renta. Baadae tukafunga ndoa nikaendelea kuimalizia taratibu. Kukatokea mfarakano kwenye ndoa hadi kazaa nje ya nje n.a. hatuishi nae. Sasa amefungua kesi ya kuomba talaka. Sababu za kuomba talaka eti mimi ni mzinifu wakati hajawahi kunikamata lakini yeye ndo kazaa nje ya ndoa. Pili ananadai ndo kajenga nyumba.je hili Swala limekaaje kisheria?
hapo ni kuhifadhi vielelezo na ushahidi tu mzee, mikataba uliyonunulia kiwanja, risiti ulizonunulia vitu wakati wa ujenzi au mashahidi wako etc, yeye apate share ile tu aliyochangia. I hope ameshakupeleka kwenye balaza la usuluhishi kabla, je unipenda iyo ndoa ivunjike mgawane? kama hupendi talaka sasaivi, kama hamna certificate toka balaza la usuluhishi, kapinge kwamba application yake ina mapungufu. ila kama unataka muachane, ng'ang'ania kuwa yeye alichangia kidogo kwa kutoa vielelezo vyako vya kununua kiwanja kabla na watu ulionunua kwao waje etc.
 
Back
Top Bottom