Villanova tito
Member
- Dec 20, 2016
- 98
- 109
Kwema wana jukwaa la JF
Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam tegeta nakuja mbele yenu kuomba kazi yoyoye halali ya kujipatia kipato. Maji yamenifika ukingoni baada ya kukaa muda mrefu bila kazi na na familia ya mke na mtoto mmoja na wote macho yao kwangu kama kichwa cha familia
Nina uzoefu na kazi za ujenzi nikifanya kampuni kadhaa za ujenzi kama CCEC na Chico.
Nina uwezo wa kufanya kazi yoyote.
Kama storekeeper warehouse foreman shopkeeper.
Mawasiliano 0745000157
Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam tegeta nakuja mbele yenu kuomba kazi yoyoye halali ya kujipatia kipato. Maji yamenifika ukingoni baada ya kukaa muda mrefu bila kazi na na familia ya mke na mtoto mmoja na wote macho yao kwangu kama kichwa cha familia
Nina uzoefu na kazi za ujenzi nikifanya kampuni kadhaa za ujenzi kama CCEC na Chico.
Nina uwezo wa kufanya kazi yoyote.
Kama storekeeper warehouse foreman shopkeeper.
Mawasiliano 0745000157