Naomba kazi, nina cheti cha Compyuta na pia uzoefu wa Marketing

vee vivian

Member
Jul 4, 2020
12
48
Nmenyoosha mkono juu wana jf wenzangu naombeni mnielekeze sehem au taasisi yoyote unayoijua yenye nafasi nipeleke barua zangu walau nipate kazi.ichagui kazi sichagui mshahara.

Naombeni msaada wenu nmejaribu biashara mara4 zinakufa namitaji inateketea saiv sina tena pakuanzia ...sifa za ziada ninacheti cha computer chet cha JKT pamoja na shahaha ya Elimu.

Pia nina ninauzoefu na maswala ya Marketing nmefanya sehemu tatu tofauti tofauti..msinibeze msaada wenu muhimu
 
Nmenyoosha mkono juu wana jf wenzangu naombeni mnielekeze sehem au taasisi yoyote unayoijua yenye nafasi nipeleke barua zangu walau nipate kazi ...sichagui kazi sichagui mshahara ..naombeni msaada wenu nmejaribu biashara mara4 zinakufa namitaji inateketea saiv sina tena pakuanzia ...sifa za ziada ninacheti cha computer ..chet cha jkt .pamoja na shahaha ya Elimu..kha ninauzoefu na maswala ya marketing nmefanya sehemu tatu tofauti tofauti..msinibeze msaada wenu muhimu
Mwananyamala, Manzese na river side jaribu kwenda na C. V japo nafkiri ofisi zishafungwa
 
Nmenyoosha mkono juu wana jf wenzangu naombeni mnielekeze sehem au taasisi yoyote unayoijua yenye nafasi nipeleke barua zangu walau nipate kazi ...sichagui kazi sichagui mshahara ..naombeni msaada wenu nmejaribu biashara mara4 zinakufa namitaji inateketea saiv sina tena pakuanzia ...sifa za ziada ninacheti cha computer ..chet cha jkt .pamoja na shahaha ya Elimu..kha ninauzoefu na maswala ya marketing nmefanya sehemu tatu tofauti tofauti..msinibeze msaada wenu muhimu
Wewe ni ke au me
 
Nmenyoosha mkono juu wana jf wenzangu naombeni mnielekeze sehem au taasisi yoyote unayoijua yenye nafasi nipeleke barua zangu walau nipate kazi.ichagui kazi sichagui mshahara.

Naombeni msaada wenu nmejaribu biashara mara4 zinakufa namitaji inateketea saiv sina tena pakuanzia ...sifa za ziada ninacheti cha computer chet cha JKT pamoja na shahaha ya Elimu.

Pia nina ninauzoefu na maswala ya Marketing nmefanya sehemu tatu tofauti tofauti..msinibeze msaada wenu muhimu
Check your pm there"s a message 4 you
 
Nini hasa kinachosababisha kufa kwa biashara zako 4times kuwa mkweli ili upate ushauri wa maana.
Biashara nazofany ni ndogo ndogo hasa za chakula unakuta kinabaki mtaji unaisha nikijaribu tena biashara ya genge ile sehm aikuwa kama nilivotarajia kama dalali alivonielekeza ikawa n sehem ya watu kununua vitu mjini ...yaan nilifungua sehem ya watu wamagetini kutoka na gar kurudi na gar nawakat genge n sehm za changanyiken mda uo nilifungua nilikuwa sijafahamu sana kuhusu genge na loc za kufungua
 
Back
Top Bottom