vee vivian
Member
- Jul 4, 2020
- 12
- 48
Nmenyoosha mkono juu wana jf wenzangu naombeni mnielekeze sehem au taasisi yoyote unayoijua yenye nafasi nipeleke barua zangu walau nipate kazi.ichagui kazi sichagui mshahara.
Naombeni msaada wenu nmejaribu biashara mara4 zinakufa namitaji inateketea saiv sina tena pakuanzia ...sifa za ziada ninacheti cha computer chet cha JKT pamoja na shahaha ya Elimu.
Pia nina ninauzoefu na maswala ya Marketing nmefanya sehemu tatu tofauti tofauti..msinibeze msaada wenu muhimu
Naombeni msaada wenu nmejaribu biashara mara4 zinakufa namitaji inateketea saiv sina tena pakuanzia ...sifa za ziada ninacheti cha computer chet cha JKT pamoja na shahaha ya Elimu.
Pia nina ninauzoefu na maswala ya Marketing nmefanya sehemu tatu tofauti tofauti..msinibeze msaada wenu muhimu