njamayo
Senior Member
- Jan 6, 2012
- 150
- 40
Habari wana JF,
Kijana wangu wa kiume wa miaka 16 alianza kulalamika anaona madudu madudu toka mwaka 2016. Tulimpeleka MNH kitengo cha magonjwa ya akili. Ikaonekana alikuwa na stress na ndo maana limempata la kumpata.
Ni hivi: kuna kipindi anaona vitu visivoelezeka, yeye anasema anaweza kueleza akiwa ktk hiyo hali tu. inachukua km sekunde 30 inaisha. baada ya hapo anakuwa kawaida. hiyo hali ikimtokea aliye karibu hawezi kugundua chochote hata kama akikuambia tizama. pia ikitokea anakuwa anajisikia vibaya. kwa ufupi ni kuwa hana maelezo ya kujitosheleza. na bado anapata tiba hapo MNH.
Basi kama kuna mwanaJF mwenye uzoefu au habari ya hili naomba msaada please.
asanteni,
njamayo
Kijana wangu wa kiume wa miaka 16 alianza kulalamika anaona madudu madudu toka mwaka 2016. Tulimpeleka MNH kitengo cha magonjwa ya akili. Ikaonekana alikuwa na stress na ndo maana limempata la kumpata.
Ni hivi: kuna kipindi anaona vitu visivoelezeka, yeye anasema anaweza kueleza akiwa ktk hiyo hali tu. inachukua km sekunde 30 inaisha. baada ya hapo anakuwa kawaida. hiyo hali ikimtokea aliye karibu hawezi kugundua chochote hata kama akikuambia tizama. pia ikitokea anakuwa anajisikia vibaya. kwa ufupi ni kuwa hana maelezo ya kujitosheleza. na bado anapata tiba hapo MNH.
Basi kama kuna mwanaJF mwenye uzoefu au habari ya hili naomba msaada please.
asanteni,
njamayo