chapati mbili na chai
Senior Member
- Jun 1, 2026
- 100
- 190
Baada ya kukaa singo kwa miezi 9 bila kukutana na mwanamke yeyote hatimae wiki 3 zilizopita nikapata mwanamke, ilikuwa siku ya wikend Ijumaa usiku akaja geto, nimekesha napeleka moto kavu kavu, namwaga goli naanzisha lingine.
Tumejifungia ndani mpaka Jumapili jioni ndiyo akaondoka.
Nyege zote za miezi 9 nashukuru ziliisha, nimemwaga uzito wote.
Sasa siku mbili hizi Kuna dalili nimeziona kwenye mwili wangu na nimeangalia ni dalili za kaswende 100% kabisa.
Sasa naombeni madaktari au wenye uzoefu na hili Gonjwa la Zinaa gharama ya kulitibu ikoje 🤔
Tumejifungia ndani mpaka Jumapili jioni ndiyo akaondoka.
Nyege zote za miezi 9 nashukuru ziliisha, nimemwaga uzito wote.
Sasa siku mbili hizi Kuna dalili nimeziona kwenye mwili wangu na nimeangalia ni dalili za kaswende 100% kabisa.
Sasa naombeni madaktari au wenye uzoefu na hili Gonjwa la Zinaa gharama ya kulitibu ikoje 🤔