Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
Heshima kwenu Dr wa JF,
Mimi ni msichana wa miaka 20, ukweli namshukuru Mungu ameniumba vizuri sana! Ila ninashida moja! nimepoteza sana uwezo wa kusikia! Masikio yangu hayatoi usaha wala nini, ni mazima kama kawaida!
Inakuwa hivi:-
Nikianza kuongea na mtu hasa kwa simu ninamuelewa sana tu ila shida tu memory ikiflash back "unatatizo la kusikia" nikikumbuka tu moja kwa moja naloose nasiwezi kumsikia tena!
Nilishawahi kwenda hospital za kitaalam kutibiwa lakini tatizo bado!
Pia siwezi kusikiliza mziki wa sauti kubwa wakati huo huo naongea na mtu siwezi kumuelewa! Mnisaidie jaman mchumba wangu anataka kunitosa juu ya tatizo hili.
Wenu,
Mary!
Mimi ni msichana wa miaka 20, ukweli namshukuru Mungu ameniumba vizuri sana! Ila ninashida moja! nimepoteza sana uwezo wa kusikia! Masikio yangu hayatoi usaha wala nini, ni mazima kama kawaida!
Inakuwa hivi:-
Nikianza kuongea na mtu hasa kwa simu ninamuelewa sana tu ila shida tu memory ikiflash back "unatatizo la kusikia" nikikumbuka tu moja kwa moja naloose nasiwezi kumsikia tena!
Nilishawahi kwenda hospital za kitaalam kutibiwa lakini tatizo bado!
Pia siwezi kusikiliza mziki wa sauti kubwa wakati huo huo naongea na mtu siwezi kumuelewa! Mnisaidie jaman mchumba wangu anataka kunitosa juu ya tatizo hili.
Wenu,
Mary!