Msaada wa haraka kwa huyu mchumba wangu

Msaada wa haraka kwa huyu mchumba wangu

Mhhhhhhhh can't believe what am reading is this mzabzab au his twin labda,dahh kweli this is touching mpaka mzabzab kaandika such a point!!!!!!!!au ukute sijasoma vizuri Asprin my babu niazime miwani yako nisome vizuri quote ya mzabzab.
wewe kama kweli una msimamo basi ata avue chupi mbele yako hutamgegeda. stick to ur principles kijana nakukubali sana
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli mkuu nimeshindwa kabisa nitoe ushauri gani ila naomba nichukue nafasi hii kukupongeza kwa kushikilia msimamo imara katika kufanya lililo sawa na kutaka sana kufuata sheria za Mungu ili kumpendeza.Hongera sana na uzidi kubarikiwa ni wachache wanaoweza fanya kama sasa kenye ulimwengu wetu wa sasa.
habari zenu! wanaJF
Leo kwa mara ya kwanza ndio na post kwenye hili jukwaa! uwa napita tu,sababu mambo yangu ya mahusiano yalikuwa shwari mpaka jana usiku nilivyoanza kuhisi nina matatizo makubwa!

nina mchumba wangu ambaye tangu tuanze mahusiano tulipanga kuanza kufanya mapenzi mpaka tutakapo halalishwa yaani kufunga ndoa(kwa kifupi mimi nimelelewa mazingira ya kidini sana), na matarajio yetu yalikuwa tuoane dec 2014, mimi ni mtumishi wa umma nipo dar na yeye yupo sekta binafsi alikuwa nje ya dar! sasa nikamshauri arudi DAR,kwa ajili ya kujiendeleza kielimu ,alikubali na anaendelea na shule, sasa jana usiku kanipigia simu analia eti hawezi kusubiri muda wote huo anataka tuanze kufanya mapenzi sasa hivi na anadai weekend hii lazima alale kwangu!kwani amechoka kuumia kwa muda mrefu kaamua kuwa mkweli?
hili jambo linaanza kunitia mashaka kama kweli hapa patakuwa na ndoa imara maana hana uvumilivu kabisa,au kunakuzinguana na kutokana na imani yangu pamoja na malezi niliyokulia siwezi kumkubalia kufanya huu upuzi kabla ya wakati!

mpaka sasa nataka nimkalishe chini hiyo siku atakayo kuja na kama akishindwa kunielewa ni bora huo uchumba ufe kabisa japo uwa anajifanya kulilia na kudeka ukimuuzi kidogo
naomba mawazo yenu wanaJF Lakini yawe yakujenga sio utani na kashfa!
nawasilisha
 
endeleeni na huo msimamo wenu wa hakuna mapenzi kabla ya ndoa eti kisa imani lol imani gan hiyo ??? Hizi zilizo letwa na meli kuja kutupumbaza???ili tudhurumike??mbona wenzetu china , japan hawana dini na maisha yanasonga??? Wewe amin mungu yupo then hayo mengine ni watu walikaa wakapanga mbinu za kupunguza uovu duniani, lakin pia tambua karne ya kutumia misimamo hiyo ilisha pita siku nyingi sana , kizazi cha sasa si kama kile cha zaman all in all tia akili.
 
Obama wa Bongo
Kuna mambo mawili nayaona hapa.

1. Inawezekana alikuwa kwenye mahusiano, ameshika ujauzito, sasa anataka auhalalishe kwako na muendelee na utaratibu wenu wa ndo.
Ushauri: Nenda Pharmacy, nunua vipimo kama viwili, mwambie apime ujauzito. Hii itakuondolea shaka juu ya hili.
2. Binadamu tunatofautiana kimaumbile. Inawezekana mwenzako anajisikia hamu ya tendo la ndoa. Ameamua kuwa muwazi kwako, badala ya kuwa anapoozea pembeni, anataka wewe ummalizie haja zake na hiyo Dec 2014 anaiona kuwa ipo mbali.
Ushauri: Ukiwa baba au mume mtarajiwa, kaa na mke/mchumba/mpenzi wako. Msaidie kwa ushauri na ikibidi mharakishe kuwa pamoja baada ya kubarikiwa kanisani na kufanya sherehe ili muishi kama wana ndoa.

Conclusion:
Unatakiwa kui-manage hii hali. Usijiingize kwenye malumbano, heshimu hisia zake. Lakini pia unatakiwa uwe makini na ushauri wa kwanza hapo juu, kwani ilishawahi mtokea rafiki yangu.

Mwanamke alishinikiza ndoa haraka, walikuwa hawajawahi fanya tendo la ndoa. Ndoa ikafungwa. Baada ya mwezi shemeji akatangaza mimba. Baada ya miezi 4 wazazi wake wakamhitaji arudi nyumbani kwa sababu ya mambo ya kimila akijifungulie kwa bibi yake kijijini. Tukamwambia mshikaji akatae. Akakataa asiende. Ndani ya miezi 6 shemeji akaenda kujifungua hospitali. Mume akaduwaa na kabla hajaingia kumwona mtoto ndugu wa shemeji (mke) wakawahi kumtoa hospitali. Wakasingizia ni njiti. Mume na mimi tukafuatilia walikompeleka, tukakuta mtoto yupo poa na mwenye afya njema. Hatukusema kitu, tukaondoka na hapo ndio ikawa mwisho wa ndoa, mwanamke hakurudi kwa mume wake, na mume akendelea na hamsini zake.
 
Obama wa Bongo
Kuna mambo mawili nayaona hapa.

1. Inawezekana alikuwa kwenye mahusiano, ameshika ujauzito, sasa anataka auhalalishe kwako na muendelee na utaratibu wenu wa ndo.
Ushauri: Nenda Pharmacy, nunua vipimo kama viwili, mwambie apime ujauzito. Hii itakuondolea shaka juu ya hili.
2. Binadamu tunatofautiana kimaumbile. Inawezekana mwenzako anajisikia hamu ya tendo la ndoa. Ameamua kuwa muwazi kwako, badala ya kuwa anapoozea pembeni, anataka wewe ummalizie haja zake na hiyo Dec 2014 anaiona kuwa ipo mbali.
Ushauri: Ukiwa baba au mume mtarajiwa, kaa na mke/mchumba/mpenzi wako. Msaidie kwa ushauri na ikibidi mharakishe kuwa pamoja baada ya kubarikiwa kanisani na kufanya sherehe ili muishi kama wana ndoa.

Conclusion:
Unatakiwa kui-manage hii hali. Usijiingize kwenye malumbano, heshimu hisia zake. Lakini pia unatakiwa uwe makini na ushauri wa kwanza hapo juu, kwani ilishawahi mtokea rafiki yangu.

Mwanamke alishinikiza ndoa haraka, walikuwa hawajawahi fanya tendo la ndoa. Ndoa ikafungwa. Baada ya mwezi shemeji akatangaza mimba. Baada ya miezi 4 wazazi wake wakamhitaji arudi nyumbani kwa sababu ya mambo ya kimila akijifungulie kwa bibi yake kijijini. Tukamwambia mshikaji akatae. Akakataa asiende. Ndani ya miezi 6 shemeji akaenda kujifungua hospitali. Mume akaduwaa na kabla hajaingia kumwona mtoto ndugu wa shemeji (mke) wakawahi kumtoa hospitali. Wakasingizia ni njiti. Mume na mimi tukafuatilia walikompeleka, tukakuta mtoto yupo poa na mwenye afya njema. Hatukusema kitu, tukaondoka na hapo ndio ikawa mwisho wa ndoa, mwanamke hakurudi kwa mume wake, na mume akendelea na hamsini zake.
thank u! mkuu@bill kwa ushauri mzuri sana na mifano yako hai ambayo inanipa changamoto!
 
Kama ni mwanafunzi anaweza kuwa anapata shinikizo sana toka kwa marafiki. Wasichana huwa wanapenda sana kuzungumzia wapenzi wao especially mambo private, sasa lazima anapata pressure vile yeye hajui yanafananaje. Ni vizuri kuwa na msimamo kama wako but yeye je? ana imani kiasi hicho? be carefull anawezajaribu kwa siri, nae awe equal na wenzake.
 
Kama ni mwanafunzi anaweza kuwa anapata shinikizo sana toka kwa marafiki. Wasichana huwa wanapenda sana kuzungumzia wapenzi wao especially mambo private, sasa lazima anapata pressure vile yeye hajui yanafananaje. Ni vizuri kuwa na msimamo kama wako but yeye je? ana imani kiasi hicho? be carefull anawezajaribu kwa siri, nae awe equal na wenzake.
asante kwa kunifumbua macho kuhusu hizo tabia!ila nitabakia na msimamo wangu huu! kuhusu suala la imani yake siwezi kumsemeha maana ni yeye na Mungu wake !naweza kusema ni nzuri kumbe ni mbaya!
 
ila huo sio mpango wa MUNGU sex before marriage!

Hakika hapo umenena vema mkuu Obama wa Bongo, lakini mimi kwa uzoefu wangu mdogo tu hii shida ya kuelemewa na msongo wa ngono mara nyingi hutukumba na kutuelemea zaidi sisi wanaume kuliko wenzetu upande wa pili. Hivyo basi kwa kiwango kikubwa upande huu wa KE unapokuwa wenyewe ndio wenye shida zaidi kuliko upande wa ME hakika hapo kuna tatizo na inabidi uwe muangalifu sana.

Aidha wewe umesema umelelewa katika dini na unafuata mafundisho na kuyaishi vema hadi hakika hili ni jambo jema, ila ninachokiona kwa upande wa pili yaani huyu mchumba wako hali ni tofauti mkuu, kama amelelewa katika maisha ya kidini basi huyu hayaishi ya malezi yake hata kidogo.

Hapo juu nimesema hayaishi hayo malezi hata kidogo hii namaanisha huyo mchumba wako alishakuwa na mahusiano ya kimwili na mwanaume/wanaume wengine na possibly hata hapo alipo waweza kukuta ni MJAMZITO (ana mimba) hivyo anataka akukamatishe ili iitwe yako.

Ushauri wangu kwako muite huyo mchumba wako, mweleze mkapime HIV, Mimba kwa upande wake kwenye hospitali utakayoamua/chagua wewe na mkikuta salama kaa naye chini mweleze umhimu wa ninyi kusubiri hadi mtakapo funga ndoa na kupata baraka za Mungu na kutimiza mapenzi yake na kuitika wito wake hapa duniani.

Ikitokea akakataa kwenda kwenye vipimo hakika utakaa chini na kutafakari ili ufanye uamuzi sahihi juu ya maisha yako.

Kila la heri
 
Mkuu endelea na msimamo wako,ongea na mpenzi wako umuweke sawa.
Lakini fanya fasta uoe mkuu dec 2014 ni mbali mno,kuna changamoto nyingi sana kufanya mahusiano ya muda mrefu na mtu ambaye tayari umejiridhisha anafaa kuwa mkeo tena wote mnafanya kazi!..
 
Wandewa wameshamuanza huyo...hawezi tena kusubiri. Mpe atakacho na mdumishe mahusiano yenu. Kuwa amkini pia na kubambikiwa mimba
 
habari zenu! wanaJF
Leo kwa mara ya kwanza ndio na post kwenye hili jukwaa! uwa napita tu,sababu mambo yangu ya mahusiano yalikuwa shwari mpaka jana usiku nilivyoanza kuhisi nina matatizo makubwa!

nina mchumba wangu ambaye tangu tuanze mahusiano tulipanga kuanza kufanya mapenzi mpaka tutakapo halalishwa yaani kufunga ndoa(kwa kifupi mimi nimelelewa mazingira ya kidini sana), na matarajio yetu yalikuwa tuoane dec 2014, mimi ni mtumishi wa umma nipo dar na yeye yupo sekta binafsi alikuwa nje ya dar! sasa nikamshauri arudi DAR,kwa ajili ya kujiendeleza kielimu ,alikubali na anaendelea na shule, sasa jana usiku kanipigia simu analia eti hawezi kusubiri muda wote huo anataka tuanze kufanya mapenzi sasa hivi na anadai weekend hii lazima alale kwangu!kwani amechoka kuumia kwa muda mrefu kaamua kuwa mkweli?
hili jambo linaanza kunitia mashaka kama kweli hapa patakuwa na ndoa imara maana hana uvumilivu kabisa,au kunakuzinguana na kutokana na imani yangu pamoja na malezi niliyokulia siwezi kumkubalia kufanya huu upuzi kabla ya wakati!

mpaka sasa nataka nimkalishe chini hiyo siku atakayo kuja na kama akishindwa kunielewa ni bora huo uchumba ufe kabisa japo uwa anajifanya kulilia na kudeka ukimuuzi kidogo
naomba mawazo yenu wanaJF Lakini yawe yakujenga sio utani na kashfa!
nawasilisha
daaah ni nani aliyekuambia kwamba kuchelewa kufanya mapenzi kwa wachumba ndo kuna dumisha ndoa? issue ni hii ninyi ni kama mume postpone tu hicho kitu kama ninyi wenyewe mnaweza kuvumiliana ktk mambo mbali mbali basi ndoa yenu itakua fresh kwahiyo hamna uhusiano wowote wa uvumilivu wa kutokutana kimwili..na kudumu kwa ndoa...over....
 
ila huo sio mpango wa MUNGU sex before marriage!

hivi kweli bado unastahili kuitwa obama?mwenzako anatombwa pemben machungu yanapungua wewe unavuta subiraaa?kweli? ngoja sasa tukutombee mjinmga mkubwa wewe....et obama...wewe?
 
Tukupe mawazo?! Suala lenyewe umeshamuhusisha Mungu halafu nithubutu kusema mtimizie haja zake ili midhambi yako yoooooote, ije kwangu?! Mi simo! Acha tu nikupe ushauri wa ki-bible bible ambae am very certain utahatarisha mahusiano yenu! Ushauri wangu ni kwamba, hakika epuka kudondoka dhambini!!

Ila mkuu wangu mambo mengine kuomba ushauri ni kutafutana lawama tu hapa aisee! Hili ni jukwaa la wagegeda na wagegedwa....situaation kama yako kaombe ushauri kanisani au msikitini bana!!
 
mpige chenga, mfanye after 3-4 months. hapo utajua mantiki ya kufanya sex na wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom