Msaada wa haraka kwa huyu mchumba wangu

Msaada wa haraka kwa huyu mchumba wangu

dah, hili nalo neno! sikuwahi kufiria hivi!!we una akili sana!
pole sana, kuwa makini inawezekana huyo mchumba wako ame sex na mtu mwingine na pengine anahisi amepata mimba sasa anataka ukisha sex nae , akuambie kua wewe ndiye mwenye hio mimba, mchumnguze vizuri.
 
Mkuu,

Hili suala linajibiwa tofauti kabisa tegemeana na sex ya mtu. Yani majibu ya suala hili hili ni tofauti kwa yale kwa mwanamke na yale kwa mwanaume.

Nimesoma sana kati kati ya mstari na sitaki nifanya conclusion ya kimakosa. Naomba nijue wewe ni Mwanaume ama Mwanamke?
dada AshaDii mimi ni mwanaume jamani
 
Last edited by a moderator:
wewe kama kweli una msimamo basi ata avue chupi mbele yako hutamgegeda. stick to ur principles kijana nakukubali sana
asante sana mzabzab nitazidi kusimamia misimamo yangu binafsi na ya MUNGU pia
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha ha Obama wa Bongo usiogope sana kusikia hayo maana wenzako huko tayari wameanza kumpa mchecheto wa mahaba a.k.a mapenzi na hawezi kuvumilia tena maana chipsi na kuku na vyakula vingine anavyokula vinachochea hamu pia sasa kama anapata kinachomchochea zaidi ya mwili wake pekee basi ujue ukichelewa utakuta tayari watu wanamega.
Kwa kuwa hutaki kumega mpaka muoane basi fanya taratibu hizo haraka iwezekanavyo ili ule hilo tunda unalotunziwa bila kuwa na wasiwasi.
Nafurahi kuona watu tunajali matatizo ya watu,AshaDii,Preta na Bhululu natumai mtakuja na ushauri mzuri.
asante Joseph nitafanyia kazi ushauri wako
 
Last edited by a moderator:
Khaaaaaaaaaaaaaaah! NEVER SEEN BEFORE!! KWA KWELI NAKUSIFU SANA KAMA WEWE NI MWANAUME, INGAWA KWA UPANDE MWINGINE INANICHANGANYA KIDOGO??????? A u real a Man????? Very Confusing!!!!!!!!
 
He/ she is right. There is no very good reason kwa nini hapana. Labda uwe unamatatizo unaogopa asije gundua ili akakimbia. Mmekaa mda gani katika mahusiano mpaka sasa.? Sijui imaani yako inasema nn.kapimeni mkiwa poua muendelee na mchakato as yo wishes
reason kwanini hapana ni siwezi kumkosea mungu kwa ajili ya ngono tu! kumbuka kuwa ndoa ni takatifu kama vitabu vya dini vinavyosema! natumaini umenielewa kapyu
 
Last edited by a moderator:
He/ she is right. There is no very good reason kwa nini hapana. Labda uwe unamatatizo unaogopa asije gundua ili akakimbia. Mmekaa mda gani katika mahusiano mpaka sasa.? Sijui imaani yako inasema nn.kapimeni mkiwa poua muendelee na mchakato as yo wishes
reason kwanini hapana ni siwezi kumkosea mungu kwa ajili ya ngono tu! kumbuka kuwa ndoa ni takatifu kama vitabu vya dini vinavyosema! natumaini umenielewa kapyu
 
Last edited by a moderator:
Khaaaaaaaaaaaaaaah! NEVER SEEN BEFORE!! KWA KWELI NAKUSIFU SANA KAMA WEWE NI MWANAUME, INGAWA KWA UPANDE MWINGINE INANICHANGANYA KIDOGO??????? A u real a Man????? Very Confusing!!!!!!!!
yes! am real gentleman sina tatizo lolote Lisa
 
Last edited by a moderator:
Congrats bro...wewe ni mmojawapo ya wanaume wa ukweli waliobaki..

Umempata lara 1 unasema avumilie hadi 2014 nini?
 
Last edited by a moderator:
dont be selfish, nyege hazijui imani and by the way imani ni ya kwako na yeye hana kiwango kikubwa cha imani kama cha kwako, kitu ambacho unaweza wewe sio lazima na yeye akiweze, mpe mwenzio raha kuwa kama binadamu wacha ukatili, tena una bahati anakubembelezea vinginevyo angetoa tu kimya kimya nje...... mpe mwenzako kama kweli unampenda na unamjali.... period!!!!!!!!!!!!
 
Mie naona Bikra adimu sana sikuizi,na kama unaikata bora ukachukue mtoto Muhimbili Hospital ulee mwenyewe,
Na kuhusu huyo mpenzi wako fanya vile roho yako inataka ukiona hakufai basi bora mmalizane mapema sana...
 
kijana simama na huo msimamo wako wala usiogope lolote.sex before marriage is bad.mimi nimepita huko nimekuwa ktk uchumba kwa miaka 3 bila sex mpaka ndoa.kwa kweli nafurahia sana ndoa ni nzuri sana tuna amani furaha yani jitunze kijana inawezekana
.ukujiheshimu mungu atakuheshimu kumbuka yusufu alikimbia vishawishi kama hiyo ukisex tu umekwisha utakuwa umefungua mlango kwa shetani hatimaye utakuwa mtumwa wa ngono yani uaminifu utakuwa umeondoka na hofu ya mungu haiyakuwepo tena.kimbia usiruhusu binti aje kwako utanguka ndugu yangu usijifariji kwamba akija utamwelewesha na akuelewe.jibu kimbia usiruhusu aje kwako take care kijana
 
Kaka nitupime mie nikusaidie kum-pooza kiu yake...laa sivyo ataliwa na wajingawajinga wa shulen anakosoma...sorry lakini..did she said she's virgin????...kama hajawahi kuguswa na mwanaume toka azaliwe iweje aulilie uume asioujuwaaaaaa???..keshaonja tunda huyo so anataka kupanda mti kabsaaa avune matundaaaa....

Lakini na weweeee...mtu sio bikra na may be zote mbili hazipo unamtakaje asubirie mpaka 2014??...kwani huo ni uchaguzi wa raisi mpaka 2015???...mpe kitu roho inataka or else mlete watu tukusaidie kumpa kitu roho inapenda.
\
dah! asante kwa mchango wako whocares? naona jina lako linasanifu maneno yako
 
Last edited by a moderator:
aah! mzabzab ni wewe, kwa mara ya kwanza leo ndo naona umejibu point kwenye haya mambo ya kugegedana

Kijana fuata ushauri wa mzabzab

wewe kama kweli una msimamo basi ata avue chupi mbele yako hutamgegeda. stick to ur principles kijana nakukubali sana
 
Back
Top Bottom