Msaada wa haraka kwa huyu mchumba wangu

Msaada wa haraka kwa huyu mchumba wangu

pole sana, kuwa makini inawezekana huyo mchumba wako ame sex na mtu mwingine na pengine anahisi amepata mimba sasa anataka ukisha sex nae , akuambie kua wewe ndiye mwenye hio mimba, mchumnguze vizuri.
kweli kaka ume ni alart kitu cha maana sana
 
ila huo sio mpango wa MUNGU sex before marriage!

Ana mimba anataka kaushikishe dogo... Unabisha?

Sasa akija hiyo kesho mwambie poa, but lazima mkapime afya maana hutakuwa tayari kusex bila ndom. Ukifika huko mwambie Dr apime na mimba kabisa... uona kama atakubali.

hapo ukigusa tu, mkimaliza ukanunue na limao, ukwaju na udongo wa Mpemba. Jumapili anza kuweka vikao vya ndoa, maana wiki ijayo utapata taarifa nzuri kuwa 'we are expecting'...
 
aah! mzabzab ni wewe, kwa mara ya kwanza leo ndo naona umejibu point kwenye haya mambo ya kugegedana

Kijana fuata ushauri wa mzabzab
ram ndugu yangu mzabzab kaguswa sana na jambo langu ndio maana kanipa ushauri mzurisana!siku zote namkubali jamaa
 
Last edited by a moderator:
Ana mimba anataka kaushikishe dogo... Unabisha?

Sasa akija hiyo kesho mwambie poa, but lazima mkapime afya maana hutakuwa tayari kusex bila ndom. Ukifika huko mwambie Dr apime na mimba kabisa... uona kama atakubali.

hapo ukigusa tu, mkimaliza ukanunue na limao, ukwaju na udongo wa Mpemba. Jumapili anza kuweka vikao vya ndoa, maana wiki ijayo utapata taarifa nzuri kuwa 'we are expecting'...
thanks! watu wengi wamenishauri kuhusu hii habari ya mimba!nitakuwa makini ndugu
 
kijana simama na huo msimamo wako wala usiogope lolote.sex before marriage is bad.mimi nimepita huko nimekuwa ktk uchumba kwa miaka 3 bila sex mpaka ndoa.kwa kweli nafurahia sana ndoa ni nzuri sana tuna amani furaha yani jitunze kijana inawezekana
.ukujiheshimu mungu atakuheshimu kumbuka yusufu alikimbia vishawishi kama hiyo ukisex tu umekwisha utakuwa umefungua mlango kwa shetani hatimaye utakuwa mtumwa wa ngono yani uaminifu utakuwa umeondoka na hofu ya mungu haiyakuwepo tena.kimbia usiruhusu binti aje kwako utanguka ndugu yangu usijifariji kwamba akija utamwelewesha na akuelewe.jibu kimbia usiruhusu aje kwako take care kijana
asante mkuu jail kwa ushauri wako!hata mimi ni taraja langu kuwa kama wewe maana NDOA ni takatifu,sasa tukianza matatizo haya mapema hata hiyo nyumba haitakuwa na baraka
 
Last edited by a moderator:
pole sana, kuwa makini inawezekana huyo mchumba wako ame sex na mtu mwingine na pengine anahisi amepata mimba sasa anataka ukisha sex nae , akuambie kua wewe ndiye mwenye hio mimba, mchumnguze vizuri.

una akili wewe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Aaah aahah.... leo roho wa Mungu kamshukia, manake hakawiagi kutoa ushauri wa nguvu za giza huyu

But take care, hata akija kulala si lazima mfanye anachokitaka, lakini nunua kabisa na kipimo cha mimba, vipo vingi tu pharmacy nunua na cha HIV mnajipima hapo halafu unamwambia mtapima tena baada ya miezi mitatu so hakuna kuduu


ram ndugu yangu mzabzab kaguswa sana na jambo langu ndio maana kanipa ushauri mzurisana!siku zote namkubali jamaa
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana kaka; l real salute you kwa kujitunza.

Kwa faida ya wengine, how old are you and how do you do it?
 
Naomba namba yake niongee naye live na kumpa ushauri nasaa hatokusumbua tena nakuhakikishia..........:A S 39:
 
Kimsingi,sijui hasa ndoa inaelewekaje kwa maana ya tafsiri kwa watu,nasema hivyo kwakuwa kwenye maandiko(Biblia)sikuwahi kuona watu waeingia hekaluni au kwenye sinagogi kufunga ndoa
'
Sijui huu utaratibu wa siku hizi umetoka wapi
'
Wengi wamekueleza kuhusu ujauzito,kama ungekua hutaki kukutana nae kimwili kwa sababu hiyo ningekushauri lakini tatizo lako ni mafundisho ya dini yako kuhusu ngono ndo kikwazo
'
Huenda huyo dada ana sababu yake,inawezekana ikawa ni hiyo aliyokueleza au kuna nyingine,huko mnakotaka kwenda hamuwezi kufika mkiwa na mitazamo tofauti kwenye jambo muhimu kama hili,kaeni mjadili nani afuate msimamo wa mwenzake na kama mtu muungwana usilazimishe akufuate yeye bali jadilianeni
'
Epukeni malumbano!
 
Wanaume kama nyie kumbe bado mpo Dunia hii??????kiukwel wanaume wamekuwaga wa kwanza kudai tendo hilo kabla ya ndoa.....am realy suprised kusikia msimamo wako...Heshimu msimamo wako Mkuu, if she loves you she will respect that and if not let her quit.
 
Naomba namba yake niongee naye live na kumpa ushauri nasaa hatokusumbua tena nakuhakikishia..........:A S 39:
hebu kuwa makini ndugu,mimi nipo serious sana na jambo hili ndio maana hata kazi nimeahirisha leo nachukua mawazo ya member wezangu hapa JF! kama unalo la kuchangia naomba uliwekee wazi ,sio kupeana namba za simu.hapa tunataka kusaidia jamii sio mtu binafsi maana naamini kuna wengine wana changamoto kama mimi!
 
Wanaume kama nyie kumbe bado mpo Dunia hii??????kiukwel wanaume wamekuwaga wa kwanza kudai tendo hilo kabla ya ndoa.....am realy suprised kusikia msimamo wako...Heshimu msimamo wako Mkuu, if she loves you she will respect that and if not let her quit.
thank u for encouragement ! i stick in GOD principles!
 
Ni wanaume wachache wanaoweza kunywea kikombe hiki, binafsi nilijitaidi 5yrs uzalendo ukanishinda na nimeshamwoa hivyo kama utaweza, is a matter of focusing.
 
hebu kuwa makini ndugu,mimi nipo serious sana na jambo hili ndio maana hata kazi nimeahirisha leo nachukua mawazo ya member wezangu hapa JF! kama unalo la kuchangia naomba uliwekee wazi ,sio kupeana namba za simu.hapa tunataka kusaidia jamii sio mtu binafsi maana naamini kuna wengine wana changamoto kama mimi!

Unajua ujumbe ukipelekwa moja kwa moja kwa mlengwa ni rahisi kueleweka........................!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom