Msaada wa haraka kwa huyu mchumba wangu

Msaada wa haraka kwa huyu mchumba wangu

Na mashaka na ubabe wako huko kwenye ndoa yako mwenzio kazidiwa unasema "upuuzi wake" kwa nini usimbembeleze na kumsaidia ili apate pumzi zingine ili mfike kwenye ndoa.Au kuna kitu unakificha unataka mwenzio akakijue huko huko kwenye ndoa.Hata hiyo dini inatufundisha kusikilizana bana sio amri kama jeshini.
 
Mmmh... Haya mambo hata mie siyawezi..!

Unakaa na mwanaume unasubiri ndoa, sasa ukikuta ana lijimashine likubwa usiloweza kulimudu, au ukikuta HAWEZI KAZI (Kitu hakisimami), na ndio ndoa ya kikiristo mshafunga utalia na nani? Mmmh....!

Huyo Bi dada ameshaelezwa na mashosti zake athari za kuuziana Mbuzi kwenye gunia ndio maana anang'ang'ania game ili ajipimie mwenyewe..!!
 
Ushauri wangu ni huu;Jaribu kaa naye mshauri,usikubali kufanya hilo siku anayotaka hata kama unaamua kufanya hivyo. Kuna mambo mawili nimehisi;moja ameshatembea na mtu mwingine,anahisi kapata mimba ili akurushie mzigo. pili yawezekana katembea na mtu mwaathirika,anatafuta sababu ya kuwa na wewe karibu,ili ikja julikana basi uwe responsible. Cha msingi,msimamo wako ni mzuri,ila mapenzi si lazima mlaliane bwana,romance inatosha tu na mkawa salama. Mungu akuongoze.
 
Mhhhhhhhh can't believe what am reading is this mzabzab au his twin labda,dahh kweli this is touching mpaka mzabzab kaandika such a point!!!!!!!!au ukute sijasoma vizuri Asprin my babu niazime miwani yako nisome vizuri quote ya mzabzab.

hahaha mie mgegedaji ila i like men with principles. its about principality bby!!!
 
Liking men with principles is a good start and i hope for that one day your desires will to be on of the man with principles.i wish you the best dear mzabzab.
hahaha mie mgegedaji ila i like men with principles. its about principality bby!!!
 
Last edited by a moderator:
Methali: Usipoziba ufa?
Jibu: Mizi iko Chugulia dani!:smile-big:
 
daa namashaka na ww....unakataa kugegeda?....au unataka watu wakusaidie? shauri yako ushukuru amekuambia ukweli...wengine wanatafuta watu wana wagegeda uku ukidanganywa.......nnasubr ndoa
 
Mkuu endelea na msimamo wako,ongea na mpenzi wako umuweke sawa.
Lakini fanya fasta uoe mkuu dec 2014 ni mbali mno,kuna changamoto nyingi sana kufanya mahusiano ya muda mrefu na mtu ambaye tayari umejiridhisha anafaa kuwa mkeo tena wote mnafanya kazi!..
thank u! ndugu yangu kwa ushauri mzuri!kwa nn dec 2014 sababu kubwa ninategemea kuwa mambo yetu yatakuwa settle maana wote wawili tunafanya masomo ya jioni,then kuna mambo ya ujenzi kuna wadogo wanasoma!kwa hiyo mpaka july 2014 tunategemea hatakuwa wameshamalizika ndio sababu kuu ya kuchelewa
 
Ushauri wangu ni huu;Jaribu kaa naye mshauri,usikubali kufanya hilo siku anayotaka hata kama unaamua kufanya hivyo. Kuna mambo mawili nimehisi;moja ameshatembea na mtu mwingine,anahisi kapata mimba ili akurushie mzigo. pili yawezekana katembea na mtu mwaathirika,anatafuta sababu ya kuwa na wewe karibu,ili ikja julikana basi uwe responsible. Cha msingi,msimamo wako ni mzuri,ila mapenzi si lazima mlaliane bwana,romance inatosha tu na mkawa salama. Mungu akuongoze.
ameen! asante kwa ushauri wako mzuri ndugu !ubarikiwe
 
daa namashaka na ww....unakataa kugegeda?....au unataka watu wakusaidie? shauri yako ushukuru amekuambia ukweli...wengine wanatafuta watu wana wagegeda uku ukidanganywa.......nnasubr ndoa
mkuu!@kbosho kugegeda ndio nini?
ila kama unamaanisha ni marriage before sex! mimi nilishasema hapo juu msimamo wangu!
usiwe na mashaka na mimi ni mwanaume timamu nilekamilika kwa vyote
 
Mmmh... Haya mambo hata mie siyawezi..!

Unakaa na mwanaume unasubiri ndoa, sasa ukikuta ana lijimashine likubwa usiloweza kulimudu, au ukikuta HAWEZI KAZI (Kitu hakisimami), na ndio ndoa ya kikiristo mshafunga utalia na nani? Mmmh....!

Huyo Bi dada ameshaelezwa na mashosti zake athari za kuuziana Mbuzi kwenye gunia ndio maana anang'ang'ania game ili ajipimie mwenyewe..!!
mhhhhhhhhh! no coments! nimeusoma ushauri wako Neylu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom