Msaada wa haraka katika ufafanuzi wa hili neno

Neno AFUA msaada kwa aneyelijua au afua stahiki
natanguliza shukran wanajf
Ikiwa ni kitenzi ni sawa na kusamehe (kutoka Kiarabu عفو ).

Kamusi yangu ya TUKI inasema pia sawa na "afya" (mwenyewe sikumbuki vile), "afua ni mbili, kufa na kupona"
 
Ni neno la kiswahili toka kwenye lugha ya kiarabu, maana yake ni kuomba msamaha yaani SAMAHANI. Maana nyingine ni afya (kuepuka maradhi)
 
Back
Top Bottom