Maombi ni fix, tumia utaratibu wa kisayansi.Habari ndugu zangu, naombeni msaada wa maoni na ushauri, eti utaratibu wa MAOMBI ya kiroho kama huduma ya matibabu unagharimu kiasi gani Cha fedha. Na je malipo Huwa ni kabla au baada ya huduma.
Natanguliza Shukran
Kondoo huwa wanajipeleka machijioni bwashee
Sina salio la kupiga ila huyo mwamba anataka kununua huduma ya MAOMBIAliyeelewa anipigie simu nitoe maelekezo
Usimkatishe Tamaa; Mwache kwanza anunue halafu atupe mrejesho hapa.Maombi ni fix, tumia utaratibu wa kisayansi.
Mbona-Ameomba maelekezo ya kuipata huduma ya maombi na kiasi cha malipo? Elewa Hajaulizia dini wala makanisa.Kijana huna dini? Je huna kanisa?
Kwani wewe hujasikia "sadaka ya kujimaliza"? Sadaka manake pesa au malipo.Kuanzia lini maombezi yakawa ni pesa?
Kule Catholic hawauzi maombi. Sijui TAG lakini nina wasiwasi kama huwa wanauza.Nenda kanisa lolote kaombewe nenda roman Catholic Kuna karismatic au nenda TAG kapate maombezi kijana mwenzangu
Yeye amesema anataka kupata Huduma hiyo kwa malipo.Huduma ya maombi ni bure..
Hii issue ya kununua huduma ya maombi imeanzishwa na nani? Mbona Yesu aliwaponya maelfu ya watu bila kuwacharge pesa? Hata wale maelfu aliowalisha mikate, walikula bure.Habari ndugu zangu, naombeni msaada wa maoni na ushauri, eti utaratibu wa MAOMBI ya kiroho kama huduma ya matibabu unagharimu kiasi gani Cha fedha. Na je malipo Huwa ni kabla au baada ya huduma.
Natanguliza Shukran
Choxo wewe unawashwawashwa xubabaako, unatamani kupelekewa moto na kobaz, ukidhani wanapumulia mipunga kama wachungaji wenuShehe wa visomo atakuambia una jini kutoka zanziba ambalo lilieletwa na kupitia mwambao wa oman
Watafute wenzako 100 wenye shida ya maombi kama wewe, halafu mje kila mtu na laki 1. Nitawafanyia maombi ya kihistoria na shida zenu zote zitakwisha. Milango ya baraka itafongoka, mabalaa na mikosi vyote vitakwisha, ooooh halleluyaaa!!Habari ndugu zangu, naombeni msaada wa maoni na ushauri, eti utaratibu wa MAOMBI ya kiroho kama huduma ya matibabu unagharimu kiasi gani Cha fedha. Na je malipo Huwa ni kabla au baada ya huduma.
Natanguliza Shukran
Hii issue ya kununua huduma ya maombi imeanzishwa na nani?
Wengi wa walioponywa walitumia gharama zao (Muda na Imani) kumfuata Yesu huko alikokuwako.Mbona Yesu aliwaponya maelfu ya watu bila kuwacharge pesa?
Hawakula bure. Kumbuka wale maelfu walimsikiliza Yesu(walihudhuria Mafunzo/Semina) kutwa nzima hadi wanafunzi wake wakamwomba awaruhusu watu waende wakajitafutie chakula kijijini... Ujue hiyo ni gharamaHata wale maelfu aliowalisha mikate, walikula bure.
Huo ndo Ukweli. Mwache ajipeleke.Utaliwa, mkuu. Shtuka