Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2tolee uchekechea wako.we chukua alama ya ukimwi kisha iandike kwa ulalo ndo correct answer.
Mkuu nimejaribu hivyo, kuna mahali inagoma kabisa. Ukipata muda jaribu.
simple xlog2 = 4X then multiply xlog2 by 0, the 0 = 4 kushneyyyyy
acha kupotosha. Dogo sijui kapata fake.
Nachukia sana hesabu, lakini ukifanya hivyo unapata 0 both sides, and not 4simple xlog2 = 4X then multiply xlog2 by 0, the 0 = 4 kushneyyyyy
weka hadharani basi mkuu.
2^x =4x......log
log2 ^x=log4x.
Xlog2=log(2^2)X.
Xlog2=log(2^2)+logX.
Xlog2=2log2+logX
logX=Xlog2-2log2
logX=(X-2)Log2
X=(X-2)2
X=2X-4
4=2X-X
X=4.
Heshima mkuu. lakini kwenye red hiyo sheria ni ipi hiyo!!. hiyo Log jinsi ilivyopotea hapo!!.
maana nilitegemea iwe:
LogX=(X-2)Log2
X=2[SUP](X-2)[/SUP] then uendelee kutoka hapo.
Hiyo sheria uliyotumia hapo juu, naomba ifafanue zaidi.
kaka hizo log zote zipo under base 10 sheria ya log base 10 inasemaje?
kaka hizo log zote zipo under base 10 sheria ya log base 10 inasemaje?