Msaada wa haraka hii hesabu!!!

Sio ugomvi kaka, tuelimishane tu. kuwa log base 10 sidhani kama ni ishu, hata kama ingekuwa base 2 as long both logs on both sides have the same base.

kwa jinsi ninavyoona hapo hizo log umezicancel hapo kama number, kitu ambacho sidhani kama ni sahihi kwenye sheria za log. ndio mana nikaomba, kifupi sijawahi kuona hiyo kitu.

kama una uwezo zaidi wa kunieleza hiyo sheria nitashukuru. sidhani kama kwenye vitabu ipo.

jamani sio ugomvi mpendwa wangu, halafu mimi sio kaka. Log base 10 huwa ni moja. Na ndio maana mwanzo wa calculation tuliapply log base 10. Moja ukizidisha kwa namba yoyote jibu huwa ni hiyo namba. Ukiona imeandikwa log na chini hujaekewa base ujue hiyo ni log base 10. Jaribu kuulizia ulizia kwa watu ila i hope nimekupa mwanga kidogo.
 
jamani sio ugomvi mpendwa wangu, halafu mimi sio kaka. Log base 10 huwa ni moja. Na ndio maana mwanzo wa calculation tuliapply log base 10. Moja ukizidisha kwa namba yoyote jibu huwa ni hiyo namba. Ukiona imeandikwa log na chini hujaekewa base ujue hiyo ni log base 10. Jaribu kuulizia ulizia kwa watu ila i hope nimekupa mwanga kidogo.

Samahani sana dadangu mpendwa. nashukuru sana umenipa mwanga, ni kijana (mtoto) wangu mmoja amenitumia hiyo hesabu na kwamba nikishinndwa nimpe hela (huwa tunashindana). sasa najua kabisa atanibana kwenye maswali kama hayo nikirudi nyumbani. ulivyonitumia hiyo soln ilibidi nichekicheki vitabu hapa lakini havisemi kitu kama hicho.

Kitu ulichosema hapo ninavyojua ni kwamba Log[SUB]10[/SUB]10 ndio moja, sasa kwa case yetu hiyo red 10 haipo, itakuaje moja!!
 
Wale wataalam wa hesabu hebu nisaidieni namna ya kusolve hii haraka, nimejaribu njia zote nimeshindwa (Log... etc), sasa sijui ni uzee unanisumbua!!


2[SUP]x[/SUP]=4X

The answer is 4, sasa tatizo ni namna ya kuipata hiyo 4.
[h=1]SOLUTION: 1. 4x+3y=1, x=1-y 2. 2x-y=6, -x+y=-1 3. 6x-y=3, 4x-2y=-2 4. 2x+3y=7, x=1-4y 5. 2x+3y=6, x-3y=-15 6. 7x-5y=4, y=3x-4 7. 2y-5x=-1, x=2y+5 8. 4x+3y=1, 3x+4y=10 9. 6x-5y=3, 4x+[/h]
 
SOLUTION: 1. 4x+3y=1, x=1-y 2. 2x-y=6, -x+y=-1 3. 6x-y=3, 4x-2y=-2 4. 2x+3y=7, x=1-4y 5. 2x+3y=6, x-3y=-15 6. 7x-5y=4, y=3x-4 7. 2y-5x=-1, x=2y+5 8. 4x+3y=1, 3x+4y=10 9. 6x-5y=3, 4x+

Dah! hii kali..
 
Thanx,
nashukuru umsaidia upotoshaji wa kanuni kuto vunjwa.
(X -2)log2=logX
(X-2)2 = X
Solve graphically.
 
Hizi ngoma nilikuwaga vema sana, tatizo ni hizi shule za kufanyia mitihani huwezi amini ngoma imekataa kabisa shiiit. Alafu leo hii nipo kazini kwasababu nilifanya vizuri katika masomo yangu
 
Hizi ngoma nilikuwaga vema sana, tatizo ni hizi shule za kufanyia mitihani huwezi amini ngoma imekataa kabisa shiiit. Alafu leo hii nipo kazini kwasababu nilifanya vizuri katika masomo yangu

nani kakuulza yote hayo,au ndo mbwembwe?
 
Hizi ngoma nilikuwaga vema sana, tatizo ni hizi shule za kufanyia mitihani huwezi amini ngoma imekataa kabisa shiiit. Alafu leo hii nipo kazini kwasababu nilifanya vizuri katika masomo yangu

Pole sana. sasa imagine mtoto wako anakusubiria home umfundishe hiyo hesabu. na wewe ulikuwa umeshajitamba sana kwamba ulikuwa mkali wa hesabu enzi zako.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Samahani sana dadangu mpendwa. nashukuru sana umenipa mwanga, ni kijana (mtoto) wangu mmoja amenitumia hiyo hesabu na kwamba nikishinndwa nimpe hela (huwa tunashindana). sasa najua kabisa atanibana kwenye maswali kama hayo nikirudi nyumbani. ulivyonitumia hiyo soln ilibidi nichekicheki vitabu hapa lakini havisemi kitu kama hicho.

Kitu ulichosema hapo ninavyojua ni kwamba Log[SUB]10[/SUB]10 ndio moja, sasa kwa case yetu hiyo red 10 haipo, itakuaje moja!!

kaka upo sahihi hapo. Aisee hesabu ukiitupa na yenyewe inakutupa.
Fanya hivi, ukifika kwenye;
logx=log2(x-2) gawanya kwa log2(x-2) kila upande.
Utapata logx/log2(x-2)=1
hiyo log iandike katika mfumo wa log ambapo base yake itakuwa ni 2(x-2) halafu ibadilishe katika exponential form. Utapata jibu hapo.
 
Huwezi pata jibu by using log in that. Hilo jibu la 4 umelipata by inspection, and that is the only way to state as answer.
 
kaka upo sahihi hapo. Aisee hesabu ukiitupa na yenyewe inakutupa.
Fanya hivi, ukifika kwenye;
logx=log2(x-2) gawanya kwa log2(x-2) kila upande.
Utapata logx/log2(x-2)=1
hiyo log iandike katika mfumo wa log ambapo base yake itakuwa ni 2(x-2) halafu ibadilishe katika exponential form. Utapata jibu hapo.

Asante sana dadangu mpendwa. we ni noma!. ubarikiwe sana. nadhani na watu wengine humu watakuwa wamejikumbusha vizuri hizi hesabu.

Jamani tusisahau hesabu kama hizi, kumbuka we ndio mwalimu wa kwanza kwa mtoto wako, ni aibu sana mtoto wako anakuomba msaada halafu wewe unaanza kuwa mkali au unajifanya upo bize. wakati ulishajitamba sana ulikuwa kipanga enzi zako.
 
Asante sana dadangu mpendwa. we ni noma!. ubarikiwe sana. nadhani na watu wengine humu watakuwa wamejikumbusha vizuri hizi hesabu.

Jamani tusisahau hesabu kama hizi, kumbuka we ndio mwalimu wa kwanza kwa mtoto wako, ni aibu sana mtoto wako anakuomba msaada halafu wewe unaanza kuwa mkali au unajifanya upo bize. wakati ulishajitamba sana ulikuwa kipanga enzi zako.

nimependa utaratibu wako na mwanao. Hongera sana. Wengine wazazi wetu walikuwa wanajua kulipa ada tu na mahitaji mengine hata siku moja haiuliziwi daftari wala report.
 
Huwezi pata jibu by using log in that. Hilo jibu la 4 umelipata by inspection, and that is the only way to state as answer.

kwanza kabisa karibu humu JF. Nilikuwa na mawazo hayo awali, lakini kumbe inawezekana angalia comments za Husninyo.
 
nimependa utaratibu wako na mwanao. Hongera sana. Wengine wazazi wetu walikuwa wanajua kulipa ada tu na mahitaji mengine hata siku moja haiuliziwi daftari wala report.

Asante sana dadangu. mi kijana wangu awali nilikuwa namdanganya na hela kidogo akiweza kupata swali, sasa amekuwa akijitahidi kufanya maswali ili apate hela, sasa sasahivi tumewekeana utaratibu wa kupeana maswali na kwamba mtu akishindwa swali la mwenzake basi anampa hela mwenza tumepanga 2000Tsh kwa kila swali, sasa amekuwa akijitahidi kutafuta maswali ili mi nishindwe nimpe hela, katika kufanya hivyo nashukuru Mungu amekuwa mzuri sana kwenye hesabu mpaka mi mwenyewe namuogopa. kwahiyo ndio umekuwa mchezo wetu huo na umetufanya tuwe karibu sana.
 
Asante sana dadangu. mi kijana wangu awali nilikuwa namdanganya na hela kidogo akiweza kupata swali, sasa amekuwa akijitahidi kufanya maswali ili apate hela, sasa sasahivi tumewekeana utaratibu wa kupeana maswali na kwamba mtu akishindwa swali la mwenzake basi anampa hela mwenza tumepanga 2000Tsh kwa kila swali, sasa amekuwa akijitahidi kutafuta maswali ili mi nishindwe nimpe hela, katika kufanya hivyo nashukuru Mungu amekuwa mzuri sana kwenye hesabu mpaka mi mwenyewe namuogopa. kwahiyo ndio umekuwa mchezo wetu huo na umetufanya tuwe karibu sana.

kwa hyo unataka kutuambia nin?
 
2^x =4x......log
log2 ^x=log4x.
Xlog2=log(2^2)X.
Xlog2=log(2^2)+logX.
Xlog2=2log2+logX
logX=Xlog2-2log2
logX=(X-2)Log2
X=(X-2)2
X=2X-4
4=2X-X
X=4.

hongera mdada,hii mambo nlipokuwa o level niliiogopa mbaya!!!!!
 
Log base 10 is not a number it is just an operator.so log base 10 is not not equal to one but logx base x is 1 where x is any positive number
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom