Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 30,469
- 55,359
Umenikumbusha few years back nlkua natamba na Volkswagen Polo GTI..mnyama..ebwana eee alivoanza kunitia wenge...ilikua unafixi hiki kinazingua hiki, leo imezima..kesho haiwaki..ita mafundi wote mpaka wale wanaosifika ila wapii...mjerukani akianza wenge lake ni kama mtu yuko possesed with evil spirits..imenilaza porini mara 3..hainaga comeback na spea very expensive mpaka na mie nkawa fundi....ilifika mahala nkakata tamaa nkaiacha iozee uani tu..nkanunua mnyama crown athlete ya 2006 cc3000... amani nlioipata pale sio ya kifani nkaitumia miaka 3..nkahamia grs 200 ya 2009.. amani nnayoipata siwez hama crown leo wala kesho. Mjerumani sitaki hata kumskia
Mwanangu mmoja alkua na audi A4 nae same story ..akahamia huku crown hataki kumskia mjerumani
Nilichojifunza mjerumani ni mtamu sana tena sana... ila agiza japan tumia miaka miwili au mitatu kabla haijaanza wenge temana nalo vuta mwingine tena
Ila akina sisi unaagiza japan unakaa nalo miaka 5 au zaidi likianza mapicha picha unaeza kuwa kichaq
Top of that mjapan qna spares everywhere not hard na complex to fix, mjeruman on the otherside ni changamoto