kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 17,700
- 21,475
Mafundi wa kibongo usipo kua makini wanaua gari yako. Na mbaya zaidi ukijifanya rafiki nae. Kuna siku nipo kwa fundi nikakuta kuna mteja kabla yangu nikasema nasubilia mpk umalizane na uyo. Kumbe mm nausoma mchezo wake kwenye ile gari mteja kaja na oil na filter na break pads zake zote mpya.Mteja akamwamini fundi Daaah nilicho shuhudia ni maafa au majanga ya kikatili kabisa. Uwezi amini fundi akubadilisha chochote kabisa kwenye ile gari. Kisha akachukua kadi ya service akamjazia kilometers 5000 tena kana kwamba kabadili.zile pads z zamani kapiga msasa tu. Kisha vile vitu kaenda kuuza dukani kwa bei ya hasara. Mteja kaja kalipa pesa za fundi kasepa zake.Gari linaenda kuua engine hv hv tu. Kwa njaa z fundi.
Kazi ni kipimo cha utu
Kazi ni kipimo cha utu