naona watu mnamkejeli tu. yaani wabongo mtu akiomba ushauri anapata maneno kibao.....ndo nyie mnaorudisha umri nyuma eeeh
ndo uhenga wenyewe ..............Habari wandugu!
Mimi ni kijana wa miaka 27 ila mpaka sasa kichwani kumekuwa na mvi nyingi sana na kwenye kidevu. Bado sijajua tatizo ni nini?
Naombeni mnisaidie dawa kama ipo mana zinazidi kuongezeka. Kama dawa ipo au vyakula vipo nitashukuru sana.
Thanks wakuu