Msaada wa dawa au namna ya kuondoa mvi

Msaada wa dawa au namna ya kuondoa mvi

Kuna uzi niliweka humu juzi.. Una upungufu wa madini ya vitamin B.. Nenda famasi ukanunue vidonge vya Vitamin B complex unywe kwa mwezi mmoja mfululizo.. Nitafute kwa feedback.
 
Huo sio ugonjwa maan yake umeanza kuzeeka mapema kabla ya muda soo tumia muda vzr
 
Kuna uzi niliweka humu juzi.. Una upungufu wa madini ya vitamin B.. Nenda famasi ukanunue vidonge vya Vitamin B complex unywe kwa mwezi mmoja mfululizo.. Nitafute kwa feedback.
 
Habari wadau, samahani utani tuweke pembeni. Nauliza dawa nzuri inayokaa muda mrefu ktk kutoa mvi.
 
mkuu kwa nini usikubali tuu matokeo,mvi nazo zinapendeza ukishafika umri fulani,ukiweka mfano piko wakati hta age imeshasonga mbona unaonekana kabisa kuwa huyu mzee umri ulishamtupa mkono ila analazimisha tuu aonekane bado asubuhi,kila stage ina mambo yake
 
mkuu kwa nini usikubali tuu matokeo,mvi nazo zinapendeza ukishafika umri fulani,ukiweka mfano piko wakati hta age imeshasonga mbona unaonekana kabisa kuwa huyu mzee umri ulishamtupa mkono ila analazimisha tuu aonekane bado asubuhi,kila stage ina mambo yake
Mkuu za ukoo mkuu, nina 40 tu chief hahaha
 
mkuu kwa nini usikubali tuu matokeo,mvi nazo zinapendeza ukishafika umri fulani,ukiweka mfano piko wakati hta age imeshasonga mbona unaonekana kabisa kuwa huyu mzee umri ulishamtupa mkono ila analazimisha tuu aonekane bado asubuhi,kila stage ina mambo yake
Labda nikuambie tu mara nyingine mvi haina uhusiano na umri. Nimeshaona baba mmoja ana miaka 60 lakini hana mvi hata mmoja. Nimeshaona kijana wa miaka 20 ana mvi na watu wengi wanampa shikamoo. Mimi sidhani wanaotumia dawa wanaficha umri. Wengi wanaficha ile hali ya ''kuonekana'' na kuwa marked kwa haraka. Mtu mwenye mvi anakuwa kama mtu anayependa kuvaa manguo ya kung'aa ng'aa!
 
hivi mtu unaogopa kuwa na mvi kwa nini, zinauma huko kichwani? zinasababisha ukosefu wa nguvu za kiume hapana. sasa kwa nini watu wanaogopa kuwa na mvi. mi ninazo toka nipo form two na sijawahi hata kuzifikilia na huwa naacha afro yangu kwa raha zangu. tujifunze kukubali maumbile yetu, kama una pua kubwa ipende, kama una kipara kipende na kama una mvi zipende na zikubali tu.
Picha mkuu hahaha
 
Labda nikuambie tu mara nyingine mvi haina uhusiano na umri. Nimeshaona baba mmoja ana miaka 60 lakini hana mvi hata mmoja. Nimeshaona kijana wa miaka 20 ana mvi na watu wengi wanampa shikamoo. Mimi sidhani wanaotumia dawa wanaficha umri. Wengi wanaficha ile hali ya ''kuonekana'' na kuwa marked kwa haraka. Mtu mwenye mvi anakuwa kama mtu anayependa kuvaa manguo ya kung'aa ng'aa!
mkuu angalia vi mshua vingi vinavyotumia hizi kitu yaani vinapaka just kuukataa umri,vingi ni vizee vya totoz hatar na ving hata shikamoo havitaki,vinakataa,wazee au watu wenye busara wala hata huwa hawaumizwi na mvi wanachukulia ni kitu cha kawaida tuu
 
Back
Top Bottom