DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 32,319
- 83,201
Mugabe anaweka super blackHuyu mzee ana miaka 93 mvi hazionekani lakini ww una miaka 27 tu zimesha jaa
Hizo mvi zako siyo ugonjwa itakuwa umeridhi/genetics... Sijui ndiyo hivyo...
Kuna dogo ana miaka kumi na sita ila kichwani anamvi kama za Lowassa...
![]()