Msaada wa connection CRDB Bank kwa anayeweza nisaidia

Comrade Liu Yang

Senior Member
Aug 16, 2023
145
242
Ni majuzi hapa nimeomba MKOPO wa CRDB kwenye biashara wakahitaji vielelezo vyote nikawapa.

Dhamana ipo (nyumba) iliyopo 25km tokea High Way, wakaenda itembelea dhamana wakajitidhisha ila wakaniambia POLICY yao haiwaruhusu kukopesha dhamana iliyo mbali kiasi hicho.

Wakaniambia kwamba nitafute dhamana nyingine, ndugu zanguni kichwa kimegandana.

Mkopo wanasema umeahapitishwa ilibaki dhamana tu hela iwekwe,

Biashara iko vizuri
Mzunguko uko vizuri
Account iko vizuri
Kila kitu kipo vizuri

Dhamana eti wanasema ipo mbali naombeni msaada wenu tafadhali.

Kama kuna mtu anaweza nisaidia swala langu kwa Kuongea na TOP of the top kwenye mikopo,anisaidiea nitatoa PERCENT kidogo ikihitajika.

Naombeni tu yeyote anaeona anaweza nisaidia hili basi nitashukuru.

Asante.
 
1. Biashara ipo vizuri.
2. Mizunguko upo vizuri

Udaiwi? Kuwa taratibu, usikope! On the same note kama wamekatalia asset angalia usije tapeliwa, ni kwamba hawaoni faida.

Watu wengi wameharibu kwa pupa biashara zao nzuri, ngoja wakati sahihi wa kuikuza biashara yako.
 
1. Biashara ipo vizuri.
2. Mizunguko upo vizuri

Udaiwi? Kuwa taratibu, usikope! On the same note kama wamekatalia asset angalia usije tapeliwa, ni kwamba hawaoni faida.
Sidaiwi mkuu

Hawajaweka hiyo point mkuu,ingekua ivyo wangesema basi tunakupunguzia kiwango cha mkopo.

ila point yao ni 1 tu kwamba "UMBALI"
 
Ni majuzi hapa nimeomba MKOPO wa CRDB kwenye biashara wakahitaji vielelezo vyote nikawapa.

Dhamana ipo (nyumba) iliyopo 25km tokea High Way, wakaenda itembelea dhamana wakajitidhisha ila wakaniambia POLICY yao haiwaruhusu kukopesha dhamana iliyo mbali kiasi hicho.

Wakaniambia kwamba nitafute dhamana nyingine, ndugu zanguni kichwa kimegandana.

Mkopo wanasema umeahapitishwa ilibaki dhamana tu hela iwekwe,

Biashara iko vizuri
Mzunguko uko vizuri
Account iko vizuri
Kila kitu kipo vizuri

Dhamana eti wanasema ipo mbali naombeni msaada wenu tafadhali,

Kama kuna mtu anaweza nisaidia swala langu kwa Kuongea na TOP of the top kwenye mikopo,anisaidiea nitatoa PERCENT kidogo ikihitajika.

Naombeni tu yeyote anaeona anaweza nisaidia hili basi nitashukuru.

Asante.
Kikawaida benki wanatoa mkopo against cash flow --- Umesema biashara, mzunguko uko vizuri, account etc .. Sasa hapo inaonekana mkopo uliomba lazima , uezwe kulindwa na thamani ya dhamana, wewe umetoa nyumba..Sasa angalia je kweli , mkopo uliomba unalingana na thamani ya dhamana, yaani nyumba uliyotoa .? Benki wana wasiwasi, ukishindwa kulipa hiyo nyumba , haiwezi kununulika kwa bei ya mkopo uliomba .. Haijalishi nyumba ni thamani kiasi .... Je mlifanya valuation??? Tazama thamani ya valuation... Unaweza kwenda benki nyingine kama NMB na nyinginezo
 
Ni majuzi hapa nimeomba MKOPO wa CRDB kwenye biashara wakahitaji vielelezo vyote nikawapa.

Dhamana ipo (nyumba) iliyopo 25km tokea High Way, wakaenda itembelea dhamana wakajitidhisha ila wakaniambia POLICY yao haiwaruhusu kukopesha dhamana iliyo mbali kiasi hicho.

Wakaniambia kwamba nitafute dhamana nyingine, ndugu zanguni kichwa kimegandana.

Mkopo wanasema umeahapitishwa ilibaki dhamana tu hela iwekwe,

Biashara iko vizuri
Mzunguko uko vizuri
Account iko vizuri
Kila kitu kipo vizuri

Dhamana eti wanasema ipo mbali naombeni msaada wenu tafadhali,

Kama kuna mtu anaweza nisaidia swala langu kwa Kuongea na TOP of the top kwenye mikopo,anisaidiea nitatoa PERCENT kidogo ikihitajika.

Naombeni tu yeyote anaeona anaweza nisaidia hili basi nitashukuru.

Asante.
Connection ya nini sasa? Ndipo mnapopigwa hapo.

Ngazi moja kama inakuwekea kauzibe unaenda ngazi ya juu yake.

Bank zinaenda kwa vigezo vyake, wakikuzinguwa na vigezo vyote una uhakika umetimiza unaenda BoT kulalamika.

Waandikie kwa maandishi wipokee barua kwa dispatch au andika email wakujibu kwa ushahidi kamili uliposhindwa wapi uelewe. Siyo kutumia mdomo tu.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Connection ya nini sasa? Ndipo mnapopigwa hapo.

Ngazi moja kama imekwakishq unaenda ngazi ya juu yake.

Bank zinaenda kwa vigezo vyake, wakikuzinguwa na vigezo vyote una uhakika umetimiza unaenda BoT kulalamika.

Waandikie kwa maandishi wipokee barua kwa dispatch au andika email wakujibu kwa ushahidi kamili uliposhindwa wapi uelewe. Siyo kutumia mdomo tu.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
shida yako mama unaelekeza kwa kugombeza,kwani si taratibu tu mwanao naelewa.
 
Ujanielewa, mambo ya kudaiwa namaanisha kama hakuna presha kwa nn walazimisha kukopa?

Hao hawawezi kukupa mkopo, asset yako haina thaman wanayotaka, location ni thaman pia.
sasa ni wanasema kwanin waseme umbali,mbona bank zingine wanakwambia tutakupa kiasi flani?
 
Connection ya nini sasa? Ndipo mnapopigwa hapo.

Ngazi moja kama imekwakishq unaenda ngazi ya juu yake.

Bank zinaenda kwa vigezo vyake, wakikuzinguwa na vigezo vyote una uhakika umetimiza unaenda BoT kulalamika.

Waandikie kwa maandishi wipokee barua kwa dispatch au andika email wakujibu kwa ushahidi kamili uliposhindwa wapi uelewe. Siyo kutumia mdomo tu.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
kwani mkopo ni lazima...? maana ulicho mshauri ni kama benk wanalazimishwa kutoa mikopo hali ya kuwa wao wana vigezo vyao...ina maana hata kama hajavitimiza apewe...?

kwa ushauri huu ni big no...! awezi kuwashitaki harafu arudi wampe mkopo...!​
 
Kikawaida benki wanatoa mkopo against cash flow --- Umesema biashara, mzunguko uko vizuri, account etc .. Sasa hapo inaonekana mkopo uliomba lazima , uezwe kulindwa na thamani ya dhamana, wewe umetoa nyumba..Sasa angalia je kweli , mkopo uliomba unalingana na thamani ya dhamana, yaani nyumba uliyotoa .? Benki wana wasiwasi, ukishindwa kulipa hiyo nyumba , haiwezi kununulika kwa bei ya mkopo uliomba .. Haijalishi nyumba ni thamani kiasi .... Je mlifanya valuation??? Tazama thamani ya valuation... Unaweza kwenda benki nyingine kama NMB na nyinginezo
Hamna valuation ilofanyika mkuu,walikuja tu kutazama yani kabla hata hawajafika kwenye nyumba walishaanza kutoa point kwamba hawawezi toa mkopo kwa umbali huuu,hapo hata hawajafika kuiona kumbuka kwahyo wakawa wanasema kwakua safari tulishaianza basi tumalizie tu.

kwahyo ikawa hivyo.
 
kwani mkopo ni lazima...? maana ulicho mshauri ni kama benk wanalazimishwa kutoa mikopo hali ya kuwa wao wana vigezo vyao...ina maana hata kama hajavitimiza apewe...?

kwa ushauri huu ni big no...! awezi kuwashitaki harafu arudi wampe mkopo...!​
shida hiyo inaanzia hapo,unaomba mkopo halafu unalazimisha upewe? kufanya hivyo sio ntakua najikaanga mwenyewe hata next time nikihitaji kwa dhamana ya mjini kabisa wanikatae?
 
mkuu...kama huna ulazima mkubwa wa kukopa achana na hiyo mikopo. kwa nchi yetu hii mikopo ni umiza kichwa sana utakopeshwa milioni 20 unalipa milioni 45...🤣🤣🤣🤣


chamsingi weka akiba kwa faida unayoipata kupitia akiba yako hiyo matharani ikiiweka kwa miaka 5 naamini biashara yako itakuwa tu vile upendavyo.

chukulia huko kunyimwa mkopo kama chachu ya wewe kufanya biashara yako kwa bidii na kuweka sana akiba. at the End hizo benki zitakufata zenyewe kukuomba wakukopeshe.

usithubutu kubembeleza MKOPO hilo ni PEPO...​
 
Connection ya nini sasa? Ndipo mnapopigwa hapo.

Ngazi moja kama imekwakishq unaenda ngazi ya juu yake.

Bank zinaenda kwa vigezo vyake, wakikuzinguwa na vigezo vyote una uhakika umetimiza unaenda BoT kulalamika.

Waandikie kwa maandishi wipokee barua kwa dispatch au andika email wakujibu kwa ushahidi kamili uliposhindwa wapi uelewe. Siyo kutumia mdomo tu.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
BOT haihusiki na mambo ya ndani ya benki husika.. BOT wangehusika endapo wametoa interest zaidi ya kiwango kilichokubaliwa na BOT, Usimuingize chaka BOT hawana cha kufanya hapo.....
 
Back
Top Bottom