Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
Habari zenu,
Nipo Dar es Salaam na nina misaada nataka kutoa kwa watoto yatima (na pampers labda kwa ajili ya hospitali?) ila sijui pa kwenda. Nahitaji kufahamu ni wapi ninapoweza kupata taarifa sahihi za vituo vya watoto yatima. Kuna ofisi inayoweza kuniambia wapi ninapoweza kuipeleka mwenyewe moja kwa moja?
Natanguliza shukrani.
NB: Mniwie radhi. Inawezekana hii siyo sehemu ya kuweka post ya namna hii ila kiukweli naingiaga sehemu mbili tu humu Jamii Forums - Jukwaa la Siasa na hili la Biashara.
Nipo Dar es Salaam na nina misaada nataka kutoa kwa watoto yatima (na pampers labda kwa ajili ya hospitali?) ila sijui pa kwenda. Nahitaji kufahamu ni wapi ninapoweza kupata taarifa sahihi za vituo vya watoto yatima. Kuna ofisi inayoweza kuniambia wapi ninapoweza kuipeleka mwenyewe moja kwa moja?
Natanguliza shukrani.
NB: Mniwie radhi. Inawezekana hii siyo sehemu ya kuweka post ya namna hii ila kiukweli naingiaga sehemu mbili tu humu Jamii Forums - Jukwaa la Siasa na hili la Biashara.