Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,708
- 1,733
Wakuu, nipo Dar sasa tokea mwezi wa nne mwaka huu. Pamoja na kuwa niliisha ulizia pahala bendi hiyo inapopatikana pindi nikifika Dar lakini sasa nimesahau hivo pamoja na kuulizia lakini maelekezo yananichanganya.
Naomba msaada kuelewa pahala Grand Utalii Band inapopigia musiki wake ili siku nikiwa na nafasi nami nijimwage mwage.
Naomba msaada kuelewa pahala Grand Utalii Band inapopigia musiki wake ili siku nikiwa na nafasi nami nijimwage mwage.