aloycious, Jile79, MR UNINFORMED
Kawaida mwanadamu anajifanya mjuaji, lakini mambo yako wazi ! Biashara ina mabo mawili, 'faida' na 'hasara'
Biashara katika Uislaam inasimamia hapo, kuwa mna share faida au hasara. Lakini mtoza 'riba' yeye hawezi hata siku moja kukubali kubeba hasara, ndio maana anashikilia hati yako ya nyumba.
Mwenyezi Mungu anasema kuwajibu wale wasio amini na wanaoendekeza riba:
'Wale walao riba hawasimami ila kama anavyo simama aliye zungwa na Shetani kwa kumgusa. Hayo ni kwakuwa wamesema: Biashara ni kama riba. Lakini Mwenyezi Mungu ameihalalisha biashara (profit and loss) na ameiharamisha riba. Basi aliyefikiwa na mawaidha (ujumbe huu ) kutoka kwa Mola wake Mlezi, kisha akajizuia (kushiriki biashara ya riba hata kama nyuma huko aliwahi kufanya) basi yake ni yaliyo kwisha pita (amesamehewa) na mambo yake yako kwa Mwenyezi Mungu. Na wenye kurudia (wabishi) basi hao ndio watu wa Motoni, humo watadumu.
Na Mwenyezi Mungu huiondolea baraka riba, na huzibariki sadaka. (ndio maana mabenki yana filisika !)
Enyi mlio amini (Waislaam) Mcheni Mwenyezi Mungu ! na acheni riba zilizo baki (compound) ikiwa nyinyi ni Waumini.
Basi mkifanya jitangazieni vita na Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na mkitubu (mkiacha) basi haki yenu ni rasilimali zenu. Msidhulumu wala msidhulumiwe.
Qur'an: 2: 275- 279.
Unaweza, hakuna masharti ya kujiunga na benki zaidi ya yaliyowekwa na BOT. Wacha kujiunga na Islamic Banking unaweza kujiunga hata Uislam wenyewe mradi ukubali tu kuwa Mwenyeezi Mungu ni mmoja hajazaa wala kuzaliwa, Yesu ni mtume wake na Muhammad ni mtume wake. Karibu sana.
Ingekuwa ni rahisi hivyo hata muulizaji asingeuliza !
Acha mzaha na taaluma za watu Totos Boss
Ni kwa nini kila mara waislamu wanapenda kusema "katika uislamu"????? badala ya kuzungumzia economic principles?
Hata Lipumba muislam aliyebobea kwenye uchumi anaweza kukusaidia na hatasema kuhusu "katika uislam"
Ukiingiza sn imani unajikuta "ktk uislam unaruhusiwa vitu vingi wake wengi, kuua, etc
Unaweza, hakuna masharti ya kujiunga na benki zaidi ya yaliyowekwa na BOT. Wacha kujiunga na Islamic Banking unaweza kujiunga hata Uislam wenyewe mradi ukubali tu kuwa Mwenyeezi Mungu ni mmoja hajazaa wala kuzaliwa, Yesu ni mtume wake na Muhammad ni mtume wake. Karibu sana.
Hakuna MKOPO usio na RIBA JINA NDO LINABADILIKA,
UNAPONINUNULIA GARI LA 10M HALAFU NILIPE 11M KWA INSTALLMENTS, 1M NI RIBA
Zungumzia products za bank sio unaleta unaa.umeckia ww kikongwe
Huo unaa uko wapi ewe punguani? Umeona swali lililoulizwa linahusu "products"?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Huo unaa uko wapi ewe punguani? Umeona swali lililoulizwa linahusu "products"?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Huo unaa uko wapi ewe punguani? Umeona swali lililoulizwa linahusu "products"?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ni magumashi niko kwy sector ya bank.riba ipo sema wameingiza kwy kugawana faida.faida ya bank ni mikopo na ina riba.
Ni magumashi niko kwy sector ya bank.riba ipo sema wameingiza kwy kugawana faida.faida ya bank ni mikopo na ina riba.
Endapo nitashindwa kulipa kama kutokana na pengine kufukuzwa kazini, au imetokea ajali yeyote kazini, hapo bank kiupande wao watachukua hukumu gani juu yangu.
naomba kuelimishwa.
asante
Hivi kwani ww ni kati ya wale mabikira 72?????
Just curious
..... wewe mbona mjinga sana ! hujui hii mada ni ya kidini ! (islamic banking) nyiokunda
Bank ina share na wewe hasara ! ..... hakuna kuuziwa nyumba wala kushtakiwa. Katika Uislaam deni linaweza kugeuka sadaka.
Acha kimbelembele ww.islam banking hata iman nyingine wanatumia ndio maana ipo kwy regulation za bot na din nyingine wapo kwy amana bank .ambayo inatoa huduma hiyo kwa 100%.vp umepigwa na mmeo leo asubuhi!