Kacharimbe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 211
- 34
Wakuu. Kuna jamaa yangu yupo marekani anakuja wiki ijayo. Nimemwomba aniletee simu 2 amekubali. Tatizo tunalopata ni jinsi ya kumtumia hizo hela maana nimekwenda benki nimtumie kwenye account yake wakahitaji invoice. Naomba mwenye uelewa wa haya mambo anisaidie njia salama ya kutuma hela nje ya nchi. Ni kama $700 kwa simu mbili
Halafu, simu za mitandao ya huko marekani zinafanya kazi vizuri huku bongo? Ikiwa UNLOCKED pekee inatosha?
Karibuni
Halafu, simu za mitandao ya huko marekani zinafanya kazi vizuri huku bongo? Ikiwa UNLOCKED pekee inatosha?
Karibuni