Msaada tutani: Nimpe au nisimpe?!

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,561
ACHA UMBEA NENDA KAFANYE KAZI WEWEEE
🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
 
Reactions: MC7
Miaka 33 BK, hiyo labda bikra ya kuchongwa au ya kutumia ndimu na coka
 
Hahaha mi nikajua ndo ka story kameanza hivooo! Mwambie Ampe tuu sasa kama ndo yenyewe wanaifanya inakuwa na process ndeeeefu mara send off mara fulani mpaka aje kutoka uingereza arudi sio leo na hao wamezoea kukunana hapo kila mmoja anamtamami mwenzie,si support wanacho fanya ila kama ni kweli wameokoka genye zinatoka wapi na kutamaniana kabla ya ndoa,wadonoane tuu badae wataomba tobaa
 
Sweet marry mother of juses.......

Miaka 33 still BK ni nini iyo alikuwa anachukulia phd nini iyo BK

Apo ampe tu jamaa aonje ajue kuwa mdada yuko silidi ili afungue kizibo icho
 
Ahahahahha we chizi kweli! Nimecheeekaaa kiru!

Miaka 33 BK, hiyo labda bikra ya kuchongwa au ya kutumia ndimu na coka
We nawe bwana tupe msaada kama hauna basi wapishe watu wa comment wenye kutoa misaada
Unataka uaminishwe vepe labda kuwa ana bikra?!
 
Sweet marry mother of juses.......

Miaka 33 still BK ni nini iyo alikuwa anachukulia phd nini iyo BK

Apo ampe tu jamaa aonje ajue kuwa mdada yuko silidi ili afungue kizibo icho
Hehe kumbe unajua mamake Yesu nae alikuwa Bikra ee?!

Basi ndo ivyo na huyu ana neema iyo tena dogo la kichaga!

Akimpa akakimbia sa atafanyaje dogo langu?!
 
Abeee?!
Ahahahaa


Che! Akimpiga bubaaa je?! Unataka mdogo wangu aanze kuwashwa washwa chini?! Afu nani atamsaidia jamaa akikimbia?!
Mwambie aanze kuwashwa ndo atajua wakunaaji wanaptikanaje,sasa kwani hapo hawezi mpiga bubaa,kama jamaa anawashwa na yeye hataki kumpa tamu,ataenda kule anako pewa
 
wanaume wengine wanaweza sana mapenzi ya tamthiliya, hivi unasemaje huyu ni mpenzi wangu na hujawah kugegeda? Inapitaje kipindi chote hicho bila kuona ndani na bado umo tuu... lazima utoe mzigo ndiyo mambo yakae sawa
 
If you are a man, never ever be a cockblock to your fellow man. May our colleague be given what made God punish us by sending us to earth.

Na apewe tu huyo jamaa.
 
Hapo ndio mnatakiwa mfahamu vijana Bikira sio hoja ya ndoa, bibie na Bikra yake ana china tu 33 si age ndogo atii...!! Mwanaume humuoa mwanamke anayeona atamfaa maishani bila ya kujali huyo mwanamke ana nini (ana bikira au hana,kwake ni jambo dogo) mwambie huyo Dada awe makini maana Menopause itamkutia na Bikra yake hivyo hivyo sasa sijui itakua na faida gani, kama ndoa haipo bora angejipatia japo katoto hata ka moja
 
Nipe mawasiliano yake nina mengi ya kumshauri personal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…