Msaada tutani: Mwenzenu sioni raha ya mapenzi

Msaada tutani: Mwenzenu sioni raha ya mapenzi

Dada habari yako...Kiukweli nimeisoma post yako kijuujuu ila usiwe na khofu nimeweza kulijua tatizo lako....Ni kwamba Mumeo amekua na matatizo ma 2 kwa matatu:
1...Ananmwaga Shahwa kwa muda mchache.
2...Anapenda kurambwa ub**.
3....Hataki kukuramba...makao makuu ya mwili wako..

Ok Hii ni solution ya matatizo yako..

1...Kuna Dawa inaitwa PUTULU...huu ni unga wa miti unapatikana Misikitini mara nginyi..ukishindwa kuupata niambie nikununulie nitakutumia kwa boti na utaufata Bandarini Kama ni mkaazi wa Dar....Huu unga ni hatari..kwa maana mumeo anaweza kukupiga miti na anazweza asishushe na wewe ukawa hutaki hata kumuona nyumbani...achilia kitandani...Ni unga ambao unauweka kwenye kiganja cha mkono...kiddogo sana...unatia viji drop vya maji kidogo pia...unausaga kwene mkono...na majimai yake anaupaka kwenye Kichwa cha chini...anatakiwa kuupaka kama saa 11 jioni ili aweze kuja kukushuhulikia saa 3 au 4 sa usiku...
2...Kumramba ub** tumia technique....Kama leo atatumia dawa...wewe usimlambe.....ina maana yeye hatoweza kumaliza na wewe utakua umeshatosheka...siku ya 2 asitumie dawa na wewe utakua huna hamu nae kabisa..huu ndo wakati wako wa kujirambia koni yako mwenyewe wala usione tabu....
3...Suali la yeye kuramba bakuli liko nje ya uwezo wangu...ila jitahidi kufanya usafi wa nyeti zako akiwa yeye anaona...jaribu kununua shampuu za kitoto na uwe unasafisha nyeti zako kwa kutumia maji moto...Jitahidi uwe unashevu kila mara..Tumia silaha zako alizokupa Allah we mwanamkeee...sauti, macho na nyengine unazozijua wewe....mrairai arambe japo..Kisi** kwa ncha yake ya ulimi..atazoe tu uyoooo..Pia Jitahidi kumpagawisha..Yaani wakati anakushuhulikia....Toa miguno mikubwa na ya kibazazi na kimaHabbya...Tumia maneo kama ooH Honey!! sweety!!! atalamba tu uyo..

Nakutakia maisha mema...Jaribu kumsahau uyo wa zamani kwani ndoa sio kurambwa makuli tuuu....Mahitaji ya nyumbani..kula, kuvaa nalo Neno dada angu...

Aiiseenijua masihara kunamhskaji mojanilimskia akiulizaa huo unga pale mtoro nakahis chizi kumbe dawa kweli ipo..
acha ntamuliza kam hajapata ntakutafuta
 
Ni unga hatari..ila usiwe unatumia mara kwa mara at least mara 2 kwa mwezi...mimi hutumia mara 1 kwa mwezi mara nyingi siku ambayo shemeji hua ametoka kwenye siku zake...kwa sababu pale huwa ni kichaa kwa kweli
 
Wahenga walisema.."Anyone who goes too far alone goes mad... , Bora ulikuja humu kupata mawazo machache ya wadau!,pole sana!
 
^^
1. Epuka kulinganisha wanaume, utaumia zaidi
2. Kagua ulaji wa mumeo
3. Wakati wa tendo unatakiwa akishamwaga, wewe uanze kuvuta korodani zake taratibu pasipo kummumiza ili kumrejeshea uwezo wake. Fanya hivyo kila anapoonekana kuchoka.
4. Ajitahidi sana kutumia maji kila baada tendo moja.
5. Mjengee kujiamini na kumtia moyo wakati wa tendo la ndoa.
^^
Ngja kwanza..hyo no one.. mbna wanaume mnalinganisha?..wanaume tna Wa umu jamani...utaskia haa mke hajakamilika,sjui anajamba usku,etc vngne ata Havna maana ooh Maziwa yamelala..ilihari kamzalisha mwenyewe watoto 6 anyonyeshe wanenepe ,wakue wapendeze afu mwsho kukandia sjui kawaje?mwaya tafta mzee mdogo achana nae ----- huyo
 
duh kweli duniani kuna wanaume wa ajabu yaani mkeo hujamridhisha alafu unalala kweli baada ya kuona aibu,kwa daharau uliyojiletea..???
to be honest bidada hapo kwa wewe kuja kuridhika itakuja kuwa kazi sana hasa ukizingatia mwanzo ulikuwa na mtu anayeyajua mapenziso kila atakachofanya huyo mmeo utaringanisha na huyio jamaa wako wa mwanzo ambapo kwa hali ninavyoiona hawezi kumfikia labda cha kukushauri mwekee dawa za kuongeza nguvu za @#$% katika chakula chake bila ya yeye kujua walau kwenye game adumu walau dk 10 ingawaje sio nzuri kiafya lakini kwa hali ilipofikia ni kama vile hmana jinsi labda kama mmeo akubali kubadilika.

Hee.mndengerekoooo....leo nimekubamba ...eti?.mbna hujamshauri kuchepuka?
 
Mwambie atumie erecto, akikojoa mara 1 bado m-boo itaendelea kusimama hivyo akupe kitu roho yako inataka.

Mimi ni mwanamke mwenye Umri wa Miaka 26, nimeolewa hivi majuzi na Mme wangu wa umri wa Miaka 34, tunapendana sana na ananitimizia kila kitu isipokuwa kuna shida kwenye "Unyumba".

Tulianza mahusiano kwa miezi kadhaa kabla ya kuoana na kuhamia kwetu peke yetu.

Tatizo lipo Chumbani tu mwenzangu anapenda sana kulambwa corn na nikimlamba kidogo tu anamwaga saa zengine mdomoni na akisha mwaga tu anaishiwa nguvu na kulala hapo hapo na kuanza kukoroma mpaka kesho na huamka kwenda kazini na kuniacha hivo hivo na maumivu ya tangu jana usiku.

Hali hiyo inanipa shida sana kwani anakuwa hajanipa haki yangu na hisia tayari zilishapanda nabaki naumia usiku wote na kuwa na mood mbaya kunapokucha, mara nyingi nabaki nimetumbua macho kama bundi usiku wote huku yeye ameridhika na amelala usingizi mnono napata maudhi sana natamani hata nimpige vibao akiwa usingizini.

Siku akijitahidi tuna have sex lakini anakuwa kama Kuku dakika tatu kashamaliza embu imagine hali nayokuwa nayo usiku huo na ujue hapo ndio kwisha Battery.

Basi nimejitahidi kumrekebisha hawezekani ndo kwanza namvuruga nakuanza kuniambia namzarau ingawa wakati tunaanza mahusiano alikuwa ananichukua tunaenda Hotel na alikuwa anajitahidi sana ingawa si katika kiwango nilichotaka, nilivumilia kwani nilihitaji kuolewa na nikajua ntamrekebisha tukikaa wote ata-Improve lakini ndio amerudi Nyuma kiasi kwamba swala la mapenzi kwangu limekuwa jinamizi linaloniwinda kila muda.

Ananisababishia hasira na stress zisizoisha nakuwa na mood mbaya mpaka kunifikisha hatua ya kukwaruzana na wafanyakazi wenzangu bila hata ya sababu au kwa kitu kidogo mara zingine nagombana na wateja na kuna siku nimesababisha msururu mrefu Bank kwani sikuwa na mood kabisa ya kufanya kazi na jana tu kidogo nitumbukize gari mtaroni kutoka na msongo wa mawazo kwa vile tu najiona siko sawa na najisikia hovyo nachukia kila kitu, asubuhi tu nimembonda mdada wa kazi kwa kitu ambacho yani najutia kitendo nilichofanya kwani hakukuwa na sababu.

Kabla ya kuwa na yeye nilikuwa na Mvulana wangu alikuwa Mwanaume wa Ukweli, round za kutosha, alikuwa anajua romance, nilikuwanaridhika mpaka nasema sitaki tena nimechoka.

Mvulana wangu alinizoesha kunyonya huku chini lakini tangu niwe na huyu Mme wangu hataki katu katu kusikia hicho kitu, nimemiss sana na nilishazoea hataki kabisa hata nikimshawishi vipi hataki lakini corn anataka kulambwa na ananiambia eti maungo yetu ni tofauti na ni sawa mi kumnyonya nshaanzisha na mgomo hapa kabisa na ameninunia.

Naona Ndoa Chungu jamani msaada wenu wa ushauri ni muhimu.

Naombeni Ushauri, Sitaki kusaliti viapo vyangu juu ya Ndoa yangu kwa Baba Padre nilivyo apa mbele ya waumini, na Mungu.Asanteni Wana Jamii.
 
Kwa wanawake ndio watu mnajua kuwa kuchepuka sio suluhu..ila wanaume aaah chepuka tuu..ukiuliza mke ana mapungufu eti eeeh?

Sijaandika popote kuwa kwa mwanaume ni sawa, napinga uzinzi..kama umekubali kuoa/kuolewa ukubali hali zote coz hujafa hujaumbika. Kuna maradhi Kama kisukari, nayo yanasababisha upungufu wa nguvu...ama kwako ukawa na K isolainika. Maradhi hayakwepeki sista...
 
Sijaandika popote kuwa kwa mwanaume ni sawa, napinga uzinzi..kama umekubali kuoa/kuolewa ukubali hali zote coz hujafa hujaumbika. Kuna maradhi Kama kisukari, nayo yanasababisha upungufu wa nguvu...ama kwako ukawa na K isolainika. Maradhi hayakwepeki sista...

Wanaume wengi Wa umu uwa wana support uzinzi Kwa wanaume.ksa wanasema wake zao wana mapungufu uwa wananiboa sana itadhania wako malaika wamekamilika ..na kuchepuka suluhu...ona wanawake tnavyohaha kutafta suluhu za ndoa?..cha kushangaza hapa sijaona hao wanao support kuchepuka ..wanatoa tuu option nyngne.didn't mean you specifically.. you are one of a kind anyway yyyyyy...
 
Sio wew unaesemaga sababu ya mwanaume kuchepuka no
mke kutotimiza majukumu?
ndio mimi lakini kwangu mimi hii kesi kidogo naiona ipo tofauti yeye tatizo la mmewe analijua to some extent lipo ndani ya uwezo wake kumbadilisha kwanza kukaa nae na kumueleza ukweli pili,nilimshuri huko nyuma walau ajiibie amuwekee vidawa vya kumuongezea nguvu y perfomance bila ya mwenyewe kujua either kwenye chai au kwenye chakula au vyovyote vile though sio nzuri sana kiafya lakini kwa hali ilipofikia inabidi then akiwa kafanya yote hayo stillhamna changes ndo anaweza akafikiria option ya pili na kuchepuka ni inabidi iwe ni last last last option.
tofauti yetu hapa kati ya wanawake na wanaume ni kwamba mwanaume anaweza akafanya mapenzi na mtu mwingine hatakama hajampenda(kumtamani) lakini hii ni ngumu kidogo kwa wanawake wengi wao hufanya mapenzi na watu waliowapenda so once mkeo/mpenzi wako anapokusaliti ni ngumu kumrudisha tena kuwa wake wa moja kwa moja tofauti nawanaume kwa maneno mengine ni sawa na kusema mwanaume anawea akausaliti na still bado akawa anakupenda ila kwa mwanamke ukiona amekusaliti ujue hamna mapenzi tena hapo
 
ndio mimi lakini kwangu mimi hii kesi kidogo naiona ipo tofauti yeye tatizo la mmewe analijua to some extent lipo ndani ya uwezo wake kumbadilisha kwanza kukaa nae na kumueleza ukweli pili,nilimshuri huko nyuma walau ajiibie amuwekee vidawa vya kumuongezea nguvu y perfomance bila ya mwenyewe kujua either kwenye chai au kwenye chakula au vyovyote vile though sio nzuri sana kiafya lakini kwa hali ilipofikia inabidi then akiwa kafanya yote hayo stillhamna changes ndo anaweza akafikiria option ya pili na kuchepuka ni inabidi iwe ni last last last option.
tofauti yetu hapa kati ya wanawake na wanaume ni kwamba mwanaume anaweza akafanya mapenzi na mtu mwingine hatakama hajampenda(kumtamani) lakini hii ni ngumu kidogo kwa wanawake wengi wao hufanya mapenzi na watu waliowapenda so once mkeo/mpenzi wako anapokusaliti ni ngumu kumrudisha tena kuwa wake wa moja kwa moja tofauti nawanaume kwa maneno mengine ni sawa na kusema mwanaume anawea akausaliti na still bado akawa anakupenda ila kwa mwanamke ukiona amekusaliti ujue hamna mapenzi tena hapo

Aisee huo utafiti wako chiboko ...ama sijakuelewa nimesoma Mara tatu kdogo nahisi sikupati..una maanisha wanawake hatuwez kutembea na wanaume tusiowapenda ????
 
Mimi ni mwanamke mwenye Umri wa Miaka 26, nimeolewa hivi majuzi na Mme wangu wa umri wa Miaka 34, tunapendana sana na ananitimizia kila kitu isipokuwa kuna shida kwenye "Unyumba".

Tulianza mahusiano kwa miezi kadhaa kabla ya kuoana na kuhamia kwetu peke yetu.

Tatizo lipo Chumbani tu mwenzangu anapenda sana kulambwa corn na nikimlamba kidogo tu anamwaga saa zengine mdomoni na akisha mwaga tu anaishiwa nguvu na kulala hapo hapo na kuanza kukoroma mpaka kesho na huamka kwenda kazini na kuniacha hivo hivo na maumivu ya tangu jana usiku.

Hali hiyo inanipa shida sana kwani anakuwa hajanipa haki yangu na hisia tayari zilishapanda nabaki naumia usiku wote na kuwa na mood mbaya kunapokucha, mara nyingi nabaki nimetumbua macho kama bundi usiku wote huku yeye ameridhika na amelala usingizi mnono napata maudhi sana natamani hata nimpige vibao akiwa usingizini.

Siku akijitahidi tuna have sex lakini anakuwa kama Kuku dakika tatu kashamaliza embu imagine hali nayokuwa nayo usiku huo na ujue hapo ndio kwisha Battery.

Basi nimejitahidi kumrekebisha hawezekani ndo kwanza namvuruga nakuanza kuniambia namzarau ingawa wakati tunaanza mahusiano alikuwa ananichukua tunaenda Hotel na alikuwa anajitahidi sana ingawa si katika kiwango nilichotaka, nilivumilia kwani nilihitaji kuolewa na nikajua ntamrekebisha tukikaa wote ata-Improve lakini ndio amerudi Nyuma kiasi kwamba swala la mapenzi kwangu limekuwa jinamizi linaloniwinda kila muda.

Ananisababishia hasira na stress zisizoisha nakuwa na mood mbaya mpaka kunifikisha hatua ya kukwaruzana na wafanyakazi wenzangu bila hata ya sababu au kwa kitu kidogo mara zingine nagombana na wateja na kuna siku nimesababisha msururu mrefu Bank kwani sikuwa na mood kabisa ya kufanya kazi na jana tu kidogo nitumbukize gari mtaroni kutoka na msongo wa mawazo kwa vile tu najiona siko sawa na najisikia hovyo nachukia kila kitu, asubuhi tu nimembonda mdada wa kazi kwa kitu ambacho yani najutia kitendo nilichofanya kwani hakukuwa na sababu.

Kabla ya kuwa na yeye nilikuwa na Mvulana wangu alikuwa Mwanaume wa Ukweli, round za kutosha, alikuwa anajua romance, nilikuwanaridhika mpaka nasema sitaki tena nimechoka.

Mvulana wangu alinizoesha kunyonya huku chini lakini tangu niwe na huyu Mme wangu hataki katu katu kusikia hicho kitu, nimemiss sana na nilishazoea hataki kabisa hata nikimshawishi vipi hataki lakini corn anataka kulambwa na ananiambia eti maungo yetu ni tofauti na ni sawa mi kumnyonya nshaanzisha na mgomo hapa kabisa na ameninunia.

Naona Ndoa Chungu jamani msaada wenu wa ushauri ni muhimu.

Naombeni Ushauri, Sitaki kusaliti viapo vyangu juu ya Ndoa yangu kwa Baba Padre nilivyo apa mbele ya waumini, na Mungu.Asanteni Wana Jamii.
pole sana, hapo mi cjui nkushauri nn,maana unashawishika kutoka nje
 
Aisee huo utafiti wako chiboko ...ama sijakuelewa nimesoma Mara tatu kdogo nahisi sikupati..una maanisha wanawake hatuwez kutembea na wanaume tusiowapenda ????
no namaanisha cheating ya mwanamke tofauti na ya mwanaume mpenzi wako wa kiume anaweza akakucheat na still akawa anakupenda wewe aliyekucheat hapa namaanisha akiwa ametamani ila mpenzi wako wa kike akikucheat ujue hamna mapenzii hapo most of wanawake hawawezi kufanya mapenzi na watu wasio wapenzi wao/cheatingjust because wametamani tu bali humbatana na mapenzi ndani yake kwa kusummarize ni kwamba mwanamke hawezi kufanya mapenzi kama hajapenda
lastly neno langu sio sheria.
 
Maisha ya sasa ni magumu tofauti na ya zmani,jitahidi umweleze maana huyo kazi haiwezi kabisa
Ukibeba ndoo kubwa uwena kidumu mkononi ili ndoo kubwa ikimwagika unaweza pikia na kidumu cha maji sasa sijui yule jamaa mliachana kwa kufarakana?

Miaka hii sio ya kukimbilia ndoa tu humo ndani ni hatari sana
 
no namaanisha cheating ya mwanamke tofauti na ya mwanaume mpenzi wako wa kiume anaweza akakucheat na still akawa anakupenda wewe aliyekucheat hapa namaanisha akiwa ametamani ila mpenzi wako wa kike akikucheat ujue hamna mapenzii hapo most of wanawake hawawezi kufanya mapenzi na watu wasio wapenzi wao/cheatingjust because wametamani tu bali humbatana na mapenzi ndani yake kwa kusummarize ni kwamba mwanamke hawezi kufanya mapenzi kama hajapenda
lastly neno langu sio sheria.

Si ndio kuwa mwanamke hatembei na mwanaume asiyempenda!?..well nadhania umeongea tuu you don't mean a thing kwakweli hao machangu Wa reja reja na jumla wengi sio wanawake?tna hutujui bwana..mwanamke unaeza ata kuolewa na mwanaume asie mpenda na akakuzalia mpaka mkazeema usishtukie bt sio mwanaume..ata bible inasema mume ampende mke.mke amuheshmu mume!!yaan nature ya kupenda sio yetu Kwa taarfa yako mwanaume ana impact in us!!!...nina mifano hai mingi tuu ya watu Wangu Wa karibu ninao wajua wana huo uwezo...personally ma ex zangu karbu wte sikuwa nawapenda..was just dating for fun till I found huyu mjew Wangu ndo nikapagawa ..second year nikapigwa ring hapo lol na GPA ilishukajee manake nilikuwa sishikiki but before...aaah wewe tuna huo uwezo saaana hamuoni ndani na tna wanawake ma cheater wakubwa saana hamjui tuu cz wasiri na wajanja ..mwanamke akiamua kukufanyia imafioso we unaeza usijue kamwe!!..bt sio mwanaume...ukiwa mjanja mwanaume hakuchezei bingo utamjua tuu sema wanawake wengi sjui hawana hayo maujanja ama hawana mda sijui wenzangu bt for me...bingo hujanichezea bado
 
Back
Top Bottom