Msaada tutani: Mwenzenu sioni raha ya mapenzi

Msaada tutani: Mwenzenu sioni raha ya mapenzi

BABY AME-IMPROVE! BABY AME-IMPROVE!
Naendelea kuwashukuruni sana jamani!
Ushauri wenu nimeupokea kwa mikono miwili mmenisadidia sana.
At least napata doze ya kueleweka kwa hizi siku chache sasa.
Nimegundua makosa yangu binafsi na yake pia tunarekebisha.
Asanteni kwa kunifungua,
Nimemwanzishia diet maalumu, maandalizi maalum, mazoezi tunapiga wote kila jioni kabla ya kuoga na dinner,
Kila mmoja ana wajibu sasa wa kumridhisha mwenzie,
Nakiri kwamba ma hubby is a hardworking businessman na kiukweli anachoka sana katika business zake na hapati uangalizi malumu wa vyakula hasa weekdays na mchana hasa hasa,
Anajitahidi sasa at least sigombani na wateja saivi lol!
Thank you again guys! I send you hugs and kisses.

Problem solved....
Ingawa nina wasiwasi na huo muda uliosema ana tatzo mpaka amekuja kubadilika(from 24th to 28th)...mbona kama kabadilika ndani ya muda mfupi...wape maujanja wenzio siri ya urembo namna ulivyombadilisha haraka.....
 
Chukua mwiko wa ugali, pasha motoni kabla ya kut..om bana, then akikaribia kumwaga mkung'ute kama miko mitatu hivi ya pum,bu mpaka atoe kilio cha mtu mzima.
Baada ya hapo atakuwa anaogopa kukojoa mapema kwa kuhofia moto uliowaka sehemu ya siri.
Njia hii pia unaweza kuitumia kwa kikojozi sugu.
Ahsante.
 
Problem solved....
Ingawa nina wasiwasi na huo muda uliosema ana tatzo mpaka amekuja kubadilika(from 24th to 28th)...mbona kama kabadilika ndani ya muda mfupi...wape maujanja wenzio siri ya urembo namna ulivyombadilisha haraka.....

Nikweli Kaka nimegundua sote tulikuwa na kutojaliana, kuchoka sana na mishe mishe za town, kuchukuliana poa, kuridhika bila kumjali mwenzio na misongo ya mawazo isiyo na sababu ilichangia pakubwa kila mmoja kumuathiri mwingine kimsingi tumenza kurekebisha hapo, pia weight yake ina balloon sana kwahiyo nina control saiv, nami pia vile vile nazingatia swaga zangu ili kuweka mazingira rafiki na mme wangu, vile vile namfundisha kidogo maana kiukweli mwenzangu hana kabisa experience ya muda mrefu siku zote hapo kabla alichojua ni shule na biashara "mabinti" kwake ilikuwa msamiati kama ni Driver basi ana bango la "L" (Leaner) so I understand and cope with the effects of his inexperienced background ni mgeni katika hili jambo amabalo anaamini mapenzi ni kitu cha siri, aibu, na ni kwa ajiri ya uzazi tu na hakipaswi kujadiriwa mkiwa na akili timamu hivi make hata wakati tunaanza alikuwa hataki hata nimwangalie akibadiri nguuo so my friend I'm working on it.
 
....."nilivumilia kwani nilihitaji kuolewa na nikajua ntamrekebisha tukikaa wote ata-Improve lakini ndio amerudi Nyuma kiasi kwamba...."
Na hapa ndio tatizo lilipoanzia. Yaani uliitamani ndoa kiasi cha ku-ignore tatizo ukijipa moyo kuwa utamrekebisha???? Pole sana mdogo wangu na kemea sana hilo pepo linalokukumbushia boyfriend.

Very well said na mimi nimepaona hapo hapo....
 
Wa kwangu ana 40yrs lakini nisiposema enough baby tutachesha sembuse 34yrs ndo useme mzee, huyo anatatizo la kiafya.

Usemacho Mkuu ni hakika ndiyo maana iko namna hiyo maana ht umri wa uzee hafika pia kumbuka mleta mada anasema baada ya kulamba koni akitema mzig tu basi hadi kesho,hapo lipo tatizo kubwa sana. Ikiwa inatokea mara moja moja unawezasema ni uchovu ama mihangaiko ya kazi lakini kila siku wakati hapo kiufundi inatakiwa mpaka asbh awe na vitano.
 
Chukua mwiko wa ugali, pasha motoni kabla ya kut..om bana, then akikaribia kumwaga mkung'ute kama miko mitatu hivi ya pum,bu mpaka atoe kilio cha mtu mzima.
Baada ya hapo atakuwa anaogopa kukojoa mapema kwa kuhofia moto uliowaka sehemu ya siri.
Njia hii pia unaweza kuitumia kwa kikojozi sugu.
Ahsante.

JF Home of Greater Thinker
Haa haa haa haa hii iingizwe kwenye rasimu ya Katiba Mpya na kifungu hiki kiafikiwe,na wote tuseme ndiyo.
 
hii ngoma iko serious aisee sijui nikusaidie vipi hata sijui ngoja kuna vijana wangu humu ni wakali watakupa ushauri
 
Huyu jamaa nae hajui wanaume wenzie wanafanya nini? Aangalie hata pornography movie aone wanaume wanavyofanya,
Siku moja mtoe out, ongea nae vizuri mlegezee sauti na macho, mkirudi mwambie leo mnacheza tu, tena mwambie zaidi akuchezee wewe, jaribu kumwambia hujui raha ya kufika kileleni na hujawahi tangu umezaliwa, muombe akuonyeshe, mbembeleze atakubari tu, kama atafanya kidogo kisha aache aombe uchukue corn tena, basi huyo mvivu, akifanya akimaliza kabla hajaanza kukoroma wewe anza kujifanyia mwenyewe kwa mikono huku unatoa sauti za mahaba, akikuuliza mwambie wewe hujafika unajisaidia ufike kileleni.
Ataona aibu na atabadirika.
 
Wanaume wangekuwa wanafkiri hayo sidhan kama ndoa zngekuwa ndoano..hyo inaitwa kimfundsha mtu Kwa vtendo.do me I do you.. kwan hyo mwanaume kwanza ni selfish.utamfanyiaje mwenzko hvyo alafu wala usishtke?..bsi amtaftie ba dawa ya u selfish lol..hzo dawa za kuongeza nguvu je?atatmia mpaka lini?unadhania saikolojia ata hyo mwanaume itakuwa sawa hvyo kila siku akitaka Ku do ameze dawa ..lol hyo mwathirka Wa tendo sasa.alafu wenzake uwa wanafanya kisiri..mpaka .mke anajua mwwnzangu ata ujitutumueje heshma hakuna hapo.sifa na shukran zote zinairudia dawa..atamuongezea ugnjwa Wa uchiz bure.bora achepuke ambakizie cheo cha mume bandia..hehehee

if thats the case bora aombe talaka yake kama alivyoshauri faiza foxy atachepuka mpk lini?? Na kwa nini achepuke na apate dhambi ya uzinzi maisha yake yote yalibakia wakati anaweza kuachika na kuolewa tena akafurahia tendo?? Its true dawa sio njia sahihi sana ila ni short term soln long term soln ni kukaa na mumewe kuongea nae inawezekana mumewe hajui mapenzi kiasi hicho na wakiongea anaweza kupata technique mbili tatu ambazo zitamsaidia kuchelewa ku**** wakati wa tendo. Though hiyo ilibidi iwe struggle ya mwanaume mwenyewe ila kwa sababu hajitambui ni vyema akasaidiwa.otherwise atachepuka mpk lini na kupata dhambi za bure??
 
Last edited by a moderator:
Nikweli Kaka nimegundua sote tulikuwa na kutojaliana, kuchoka sana na mishe mishe za town, kuchukuliana poa, kuridhika bila kumjali mwenzio na misongo ya mawazo isiyo na sababu ilichangia pakubwa kila mmoja kumuathiri mwingine kimsingi tumenza kurekebisha hapo, pia weight yake ina balloon sana kwahiyo nina control saiv, nami pia vile vile nazingatia swaga zangu ili kuweka mazingira rafiki na mme wangu, vile vile namfundisha kidogo maana kiukweli mwenzangu hana kabisa experience ya muda mrefu siku zote hapo kabla alichojua ni shule na biashara "mabinti" kwake ilikuwa msamiati kama ni Driver basi ana bango la "L" (Leaner) so I understand and cope with the effects of his inexperienced background ni mgeni katika hili jambo amabalo anaamini mapenzi ni kitu cha siri, aibu, na ni kwa ajiri ya uzazi tu na hakipaswi kujadiriwa mkiwa na akili timamu hivi make hata wakati tunaanza alikuwa hataki hata nimwangalie akibadiri nguuo so my friend I'm working on it.

cc : muke ya muyahudi i told this guy hana expereince kabisa ya haya mambo.
 
Last edited by a moderator:
kumbe ukiona msururu bank..ujue umetokana na mambo meng..asee nilikuwa cjui..asante kwa kunijuza
Haaaha usijali Sulfa! saivi foleni naisogeza kama sina akili nzuri, kuna wakati sababu ya stress wateja wasumbufu nilikuwa natamani niwakwide niwapitishe kwenye kioo niwachomeke kwenye mashine alafu ni wa print kama receipt!
 
utaolewaje na mzee wa miaka 34, tafuta na wewe kijana mwenzio

Mbona 26 ameshaanza kuwa mzee ngozi yake hafi atumie vipodozi ndo ing'ae matiti yameshafika saa 11 jioni, hvyo huyo miaka 34 wanaendana kabisa acha kumdanganya
 
muhukumiwa nje ya gereza dah umenikumbusha mbali sana asee
Niliimba hardcore wadosi wakachomoa ... bwana eeee toa hiyo inaboa

Nikasema niimbe commercial nikajua itaniokoa ... msoto ukazidi badala ya kupoa

Mie masikini wa bahati ... tajiri wa mikosi

Nasema sirudii tena kosa zawadi waweke MELI ... wanikabidhi na SHELI
 
Nikweli Kaka nimegundua sote tulikuwa na kutojaliana, kuchoka sana na mishe mishe za town, kuchukuliana poa, kuridhika bila kumjali mwenzio na misongo ya mawazo isiyo na sababu ilichangia pakubwa kila mmoja kumuathiri mwingine kimsingi tumenza kurekebisha hapo, pia weight yake ina balloon sana kwahiyo nina control saiv, nami pia vile vile nazingatia swaga zangu ili kuweka mazingira rafiki na mme wangu, vile vile namfundisha kidogo maana kiukweli mwenzangu hana kabisa experience ya muda mrefu siku zote hapo kabla alichojua ni shule na biashara "mabinti" kwake ilikuwa msamiati kama ni Driver basi ana bango la "L" (Leaner) so I understand and cope with the effects of his inexperienced background ni mgeni katika hili jambo amabalo anaamini mapenzi ni kitu cha siri, aibu, na ni kwa ajiri ya uzazi tu na hakipaswi kujadiriwa mkiwa na akili timamu hivi make hata wakati tunaanza alikuwa hataki hata nimwangalie akibadiri nguuo so my friend I'm working on it.

hapa nimekuelewa kumbe lilikua ni tatzo kuliko nilivyolielewa....
nadhani ukimfanyia yale ulioshauriwa na wadau mambo yatakaa sawa tu..
ila nakushauri kwenda taratibu usije ukam-overdose mgonjwa akili ikamruka, maana mtu kama huyo itahitaji muda kuibadili akili yake kutoka kwenye tendo la kutunga mimba mpaka tendo la furaha ya mwili na akili...
usipomfunza wewe atafunzwa na walimwengu afu ije kuwa tabu
 
muhukumiwa nje ya gereza dah umenikumbusha mbali sana asee
....... yangu kesi ...
Muda mrefu tu mi naimba sijapata hata tuzo ... sijui sina vigezo ... nina hakika mimi nina uwezo

Njama za kuwarubuni majaji na waandaaji ... eti wanasema nashindania gari ... kumbe wameshapanga wampe nani toka awali ... nasema sirudii tena kosa zawadi waweke MELI wakinakabidhi na SHELI

Hili dude ULAMAA alitulia sana, hakuna asiyekubali
 
Back
Top Bottom