Msaada tutani: Mwenzenu sioni raha ya mapenzi

Msaada tutani: Mwenzenu sioni raha ya mapenzi

Nifanye nini nitoke kwenye ukungu ...

Msinipige majungu ... nunueni kanda zangu

Eti wanasema nagombania gari ... Kumbe walishapanga wampe nani toka awali

Nasema sirudii tena kosa ... zawadi waweke MELI ... wanikabidhi na SHELI

nilianza kuimba hardcore wadosi wakachomoa,banaeeh hii haiuzi tena inaboa,nikaona niimbe komesho labda itaniokoa msoto ndo ukazidi yani badala ya kupoa,masikini wa mapenzi mi tajiri wa mikosi'"
aisee ni pm na mimi kwa ushauri zaidi,hizi kwa wale marijali huziita fursa!
 
pole sana mdada, hakuna raha kama kugegedana, tena kwenye ndoa mahali popote uwanja, ila kwa tatizo lako linahitaji busara zenu sana kulimaliza, huyo mumeo ajue hujaenda kumpikia pale wala kumpasia, ila umefuata dudu, sasa kama hakupigi dudu sawasawa ni tatizo, kikubwa mtoe out, halafu muingizie story za mapenzi kisha jaribu kuchomeka style unazozipenda, maeneo yako hatarishi, maana inaonekana wewe hata ule mlima wa pale external hufiki, kilimanjaro unausikia tu. pole sana, ila usitoke nje ya ndoa, maana huko vijana siku hizi wakikitana na mtu kama wewe wanapiga game la hatari, wananyonya mwili mzima, halafu utaanza leta dharau na kumsahau mume wako.
 
Pole sana dada kwa kukosa ile kitu roho inapenda.....ila nakuomba uongee na mumeo juu ya tatizo hilo, naamini takuelewa na huenda atabadilika. Ndoa yahitaji uvumilivu na hekima tena usiwaze kabisa kusaliti ndoa yako
 
TO YOU ALL!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nawashukuruni sana, ushauri wenu nimeupokea kwa mikono miwili.
Hamuwezi amini nilivyopata elimu katika Comments zenu ASANTENI SANA.
Nimefarijika na jana tu nilianza kuufanyia kazi haraka ilivyowezekana ushauri mlionipa.
Amini usiamini nilipata ka-dose ka kueleweka jana hadi naona hili joto na hasira za Dar zimepungua kabisa.
Nmechambua na nimeandika ushauri wenu muhimu kwa ustadi kabisa kwenye kadiary kangu na naufanyia kazi kwa umakini.
Naheshimu mawazo yenu na kwa mchakato niliouanzisha hadi kitaeleweka maana jana tu niliona improvement.
Washauri wengine wameeleza kama wanatufahamu vile maana wamegusa hasa matatizo yetu sote na Mme wangu.
Walionizodoa nasema asanteni, walio nipa pole asanteni, walioninanga nasema nashukuru.
PM ni nyingi kidogo nazifanyia kazi pia, naheshimu na kuzingatia maoni yenu.
Lakini heshima kwenu nyote kwa jinsi mlivonipa the way forward kwa utaalamu na umahiri and I will never let you down.
Najisikia mwepesi kidogo leo hata wateja nawaona kama Malaika Asanteeeeeniiiii!
Sina cha kuwalipeni kwa ushauri wa bure ila nawapendeni nyote.
I LOVE YOU ALL!
 
TO YOU ALL!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nawashukuruni sana, ushauri wenu nimeupokea kwa mikono miwili.
Hamuwezi amini nilivyopata elimu katika Comments zenu ASANTENI SANA.
Nimefarijika na jana tu nilianza kuufanyia kazi haraka ilivyowezekana ushauri mlionipa.
Amini usiamini nilipata ka-dose ka kueleweka jana hadi naona hili joto na hasira za Dar zimepungua kabisa.
Nmechambua na nimeandika ushauri wenu muhimu kwa ustadi kabisa kwenye kadiary kangu na naufanyia kazi kwa umakini.
Naheshimu mawazo yenu na kwa mchakato niliouanzisha hadi kitaeleweka maana jana tu niliona improvement.
Washauri wengine wameeleza kama wanatufahamu vile maana wamegusa hasa matatizo yetu sote na Mme wangu.
Walionizodoa nasema asanteni, walio nipa pole asanteni, walioninanga nasema nashukuru.
PM ni nyingi kidogo nazifanyia kazi pia, naheshimu na kuzingatia maoni yenu.
Lakini heshima kwenu nyote kwa jinsi mlivonipa the way forward kwa utaalamu na umahiri and I will never let you down.
Najisikia mwepesi kidogo leo hata wateja nawaona kama Malaika Asanteeeeeniiiii!
Sina cha kuwalipeni kwa ushauri wa bure ila nawapendeni nyote.
I LOVE YOU ALL!
 
Hadi anakumwagia wareno mdomoni?? Mwambie awache kuangalia porno ofsini
Nahisi huyu mume porn zimemuharibu sana, isitoshe atakuwa bingwa wa MASTURBATION COZ NDO EEFECT YA KUWATCH PORN MOVIES...
Nina rafiki yangu nae yupo Bank kaolewa juzijuzi tu ...huyo mume wake has got same character like za huyu bwana!!! Huyo dada ana stress mbaya!! I dont know why these things come-up. Ila ye aliolewa baada ya kutendwa.
 
TO YOU ALL!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nawashukuruni sana, ushauri wenu nimeupokea kwa mikono miwili.
Hamuwezi amini nilivyopata elimu katika Comments zenu ASANTENI SANA.
Nimefarijika na jana tu nilianza kuufanyia kazi haraka ilivyowezekana ushauri mlionipa.
Amini usiamini nilipata ka-dose ka kueleweka jana hadi naona hili joto na hasira za Dar zimepungua kabisa.
Nmechambua na nimeandika ushauri wenu muhimu kwa ustadi kabisa kwenye kadiary kangu na naufanyia kazi kwa umakini.
Naheshimu mawazo yenu na kwa mchakato niliouanzisha hadi kitaeleweka maana jana tu niliona improvement.
Washauri wengine wameeleza kama wanatufahamu vile maana wamegusa hasa matatizo yetu sote na Mme wangu.
Walionizodoa nasema asanteni, walio nipa pole asanteni, walioninanga nasema nashukuru.
PM ni nyingi kidogo nazifanyia kazi pia, naheshimu na kuzingatia maoni yenu.
Lakini heshima kwenu nyote kwa jinsi mlivonipa the way forward kwa utaalamu na umahiri and I will never let you down.
Najisikia mwepesi kidogo leo hata wateja nawaona kama Malaika Asanteeeeeniiiii!
Sina cha kuwalipeni kwa ushauri wa bure ila nawapendeni nyote.
I LOVE YOU ALL!
Asante kushukuru and positive feedback!!!!
 
pole sn dada hapo inabidi umpe moyo mumeo na ikibidi mueleze kwa upole jinsi unavyopata shida lol hajapitia mafunzo ya wazee nn huyo kuwa mke kwanza?!!!!!!!!!!
 
nilianza kuimba hardcore wadosi wakachomoa,banaeeh hii haiuzi tena inaboa,nikaona niimbe komesho labda itaniokoa msoto ndo ukazidi yani badala ya kupoa,masikini wa mapenzi mi tajiri wa mikosi'"
aisee ni pm na mimi kwa ushauri zaidi,hizi kwa wale marijali huziita fursa!
Mkuu Asante kwa kurekebisha mistari, mimi sio mkali wala nini huwa naingizia tu

Halafu kuna lile dude lingine kitu kama traveller kama niko sawa, hebu niambie mistari ya mwanawazuoni haijatulia?
 
Labda alimaanisha mshirika, rafiki, swahiba

Mfano - vipi babu mambo?

Babu huonekani siku hizi

Babu kuna mpya gani

Misemo tu haina maana babu ni kikongwe, sijui umeshanifahamu mkuu?

kama alimaanisha hivyo nimekupata
 
Wewe nawe ni wa ajabu. Hapo hujafungwa kamba kinachofanya uendelee kukaa kusubiri shida nini?
Si uondoke ukatafute raha kwingineko.

..Kweli huna suluhisho lingine zaidi ya hilo? Vaa viatu vyake basi, no wonder ndoa hazina furaha..
 
Nahisi huyu mume porn zimemuharibu sana, isitoshe atakuwa bingwa wa MASTURBATION COZ NDO EEFECT YA KUWATCH PORN MOVIES...
Nina rafiki yangu nae yupo Bank kaolewa juzijuzi tu ...huyo mume wake has got same character like za huyu bwana!!! Huyo dada ana stress mbaya!! I dont know why these things come-up. Ila ye aliolewa baada ya kutendwa.

Dah! Pole yake hilo ndio tatizo kubwa kwenye mahusiano mengi
 
Back
Top Bottom