Mara nyingi vijana wamekuwa wanaleta mada za ku sex before ndoa watu wanakejeli kuwa ni wahuni, mara zote uwa sisiti kuwashauri na kuwaambia, sex kabla ya ndoa ni muhimu zaidi ya mkiwa ndani ya ndoa, ni wakati wa kumjua mwenza kuwa je ATAUWEZA MZIKI? sio unauziwa mbuzi kwenye gunia...wewe sasa uyu mbuzi wa kwenye gunia ndo unafunua unakutana na ndama mkubwa saizi ya mbuzi , dah sharti umlee akue japo size yake yuko sawa na mbuzi ila hatakuwa mtamu....
Jamani ili liwe finzo kwa wadada wengine, maisha ya kutunza bikira ni ya miaka ya 80, kwa sasa tafuteni size yako, ingia kwenye ndoa ukijua dhahiri kuwa gsana, muhogo mchungu , au mzizimbichi au mkavu, anaweza kunifikisha kaskazini magharibi mwa Goma,uko Congo.
Ushauri wa bure dada yetu, hapo ndo umeshapata ndoa ndoana! Cha msingi apo ni kumuandaa mwenza ili aanze kurudi kwenye track.
1. Mwenzi akitoka kazini akutane na chai ya tangawizi mezani, wakati huo umeoga na kuvaa kinguo cha ajabu chumbani na kama ziwa saa9 mchana, boost kitu kiwe saa 6 na nusu. Ikiwezekana vaa kinguo hata bila pichu na kiwe kilainiiii, sio anarudi anakukuta na vitenge 2 eti baridi, acha izo....
Nijuavyo wewe benki ni boss pale, yaani ni meneja mdogo, ivo jitaidi usiwe unachoka sana, uwe na muda wa kupumzika mchana dakika chake ivo usivae sura ya uchovu ukifika nyumbani, jipimpuu uonekana sista duu, uyo mtu akiingia ndani na asisimamishe mpeleke kwenye maombi...
2. Jitaidi kumpikia chakula mwenyewe sio dada wa kazi...ukirudi home nunua ndizi bukoba, na nyama, asubuhi na mapema mpikie mtori , muhimize ale ndizi zozote za kupika mbivu nk mchana. Jioni mpe ugali na samaki, ugali nyama nk sio unapikapika tambi! Akiwa ameshiba vizuri kanywa maji ya kutosha then machine ikawa slow uyo ana shida , mpeleke clinic.
3. Jitaidi kump maneno matamu,mtajie maneno machafu sio kila siku unamsomea biblia/Q'uran, mpe luv stories,mwekee picha/video za wapendanao...nk nk
Usipende sana kulamba corn na hata ikitokea basi machine ikienda hewani usisubiri akaweke mtegoni, rukia peleka mwenyewe kaangaike. Sijui kama atakwambia toa uko rudisha mdomoni , hapana ...usisubiri peleka mwenyewe kwenye tundu la sindano...
Ninayo mengi ila kwa sasa tujaribu ayo tuone kama yatafaa, usitoke kwenye ndoa na usile nje, komaa yaweza kuzaa matunda...Tutaendela kukushauri na kukupa moyo mdogo wetu...
USIENDE KWA MGANGA AKUFUNDISHE MAPENZI, MAPENZI UNAYO WEWE!!!