Msaada tutani: Kubakwa kisaikolojia

Msaada tutani: Kubakwa kisaikolojia

Ni kweli
Ila mimi nina wakaka Wengi na wadogo Wengi
Wote waliomba namba zangu nikawapa

As a man i agree with you but not go all men, you see kila kitu kina process trust me winning someone's attention and heart is the toughest task, sasa hapa ndo panapoibukia tatizo la kubakwa kisaikolojia kama mnavyoliita wanawake, alot of men i mean baadhi yao wanaruka process na kuhisi kila mwanamke anaemuona lazma tu ampate hapo tunajikuta tunakosa kuwa romantic na kuleta mvuto katika process ya kuwin affection, anyways kwa wenye vitabia hivyo tambueni mwanamke ni kama ua linalohitaji matunzo na umwagiliaji ili liweze chanua [emoji16][emoji16][emoji16], ujue vitu vingine hata kama wanaume hatuvijui bas tujifunze.
And to all ladies don't give your phone number randomly just bcoz you have just been asked, kama unajua situation yako either your in relationship or anything hii itakuletea cracks mwisho wa siku muendelee kulalamika kubakwa kisaikolojia unless uliyempa namba ulitarajia atakuwa kaka yako maybe [emoji23][emoji23][emoji23] which isn't true
 
Hawajatupia kamba kwako?[emoji16][emoji16]
Wametupa lakini kaka yao ameniwahi sa na ndoa yenyewe ya Kikristo hamna kuachana hamna Talaka! wanaondokaga kama walivyokuja ila kwa spidi tofauti
 
Wametupa lakini kaka yao ameniwahi sa na ndoa yenyewe ya Kikristo hamna kuachana hamna Talaka! wanaondokaga kama walivyokuja ila kwa spidi tofauti
I don't know why wakristo tunakosa divorce, hao wanaoondoka atleast wamesoma mwelekeo wa upepo, subir ukutane na ving'ang'anizi hapo ndo utajua kwa nn jogoo anadandia popote [emoji16][emoji16][emoji16]
 
I don't know why wakristo tunakosa divorce, hao wanaoondoka atleast wamesoma mwelekeo wa upepo, subir ukutane na ving'ang'anizi hapo ndo utajua kwa nn jogoo anadandia popote [emoji16][emoji16][emoji16]
Nimepata Ving'ang'anizi kibao na wameondoka kama jongoo😂😂😂
KUACHANA MUNGU HAPENDI ALISHAANDIKA KWENYE BIBLIA HAPENDI KUACHANA ANACHUKIA KUACHANA
Ndio Maana Wakristo hatu-entertain Divorce
 
Back
Top Bottom