Msaada tutani: Kubakwa kisaikolojia

Hakuna kitu nakumbuka Kama enzi zile za kutongozwa nabaki nachora chini aiseee, siku hizi sijui wapoje
Umeona ee?!
Zamani buana tumekula raha sana sana

Mtu unaimbiwa one sweet day au nyimbo ya keith sweat you know you know you are my love baby, got me twisted one
Unaloa kabla hajamaliza gademit!

Alafu investment ya wanaume wa zamani kwako, mweeee utajipeleka mwenyewe kujiozesha,

Sikuhizi hata ya diamond hauimbiwa shenz type!

Yani ni mateso bila chuki acheni tu wanawake wawe na michepuko 100 maana elegance, affection, appreciation hamnaga tena

Skuhizi ni kama hautaki toka, yale yale ya alieoa wake wa2 weekend moja
Kwani nimekuita bruh! Mbona unamidadi?! aki ya nani Mungu awasaidie kizazi hiki, hawabaki kimwili wanabakwa kisaikolojia!
 
Kama wamebakwa kisaikolojia basi wakashtaki panapohusika...

Na sio wanaume wote tupo hivyo..STOP GENERALIZATION
 
Kama wamebakwa kisaikolojia basi wakashtaki panapohusika...

Na sio wanaume wote tupo hivyo..STOP GENERALIZATION
Yani me nikusaidie kusema wanaume wooote waliozaliwa kuanzia mwaka 86 mpaka 1999 ni matatizo kwenye kutongoza yani sifuri hamjui wachache sana nimeskia wako vizuri ila wengi wenu ninsheedah

Ila wanaume waliozaliwa miaka ya 85 kupanda juu, OMG utawapenda buree, ni gentlemens balaa! Akikupenda hauchomoki

Me ndio maana nasema michepuko kwa wanawake haitakaa iishe mpaka wanaume wenyewe mkachukue darasa kwa baba zenu la sivyo baba zenu wataendelea kutembea na mademu zenu si hamtaki kusikia maadili, lazima mtapigwa tuu
 
Umeona ee?!
Zamani buana tumekula raha sana sana

Mtu unaimbiwa one sweet day au nyimbo ya keith sweat you know you know you are my love baby, got me twisted one
Unaloa kabla hajamaliza gademit!

Alafu investment ya wanaume wa zamani kwako, mweeee utajipeleka mwenyewe kujiozesha,

Sikuhizi hata ya diamond hauimbiwa shenz type!

Yani ni mateso bila chuki acheni tu wanawake wawe na michepuko 100 maana elegance, affection, appreciation hamnaga tena

Skuhizi ni kama hautaki toka, yale yale ya alieoa wake wa2 weekend moja
Kwani nimekuita bruh! Mbona unamidadi?! aki ya nani Mungu awasaidie kizazi hiki, hawabaki kimwili wanabakwa kisaikolojia!


Haha, M.P jamani umenikumbusha mbali, wakati mtongozo ulikuwa mtongozo haswa wa kupangwa vizuri na maua juu ambapo ki dume kinajiuma uma jinsi ya kuku approach...lol

Kuna mmoja huyo ile kuku ask out tu unapelekwa dinner kwanza, halafu kwenye dinner nako akaogopa kuongea akaomba eti twende for a ride kabla ya ku call a night halafu kwenye gari akaweka huu mwimbo. :D:D:D

 
Huku ni kubakwa Ki saikolojia haswa!
Cos kwenye mtongozo sifuri, halafu mdada akiingia kingi kidume kikapata anachotaka ndo basi tena wanaanza mbele halafu anaacha binti anaugulia maumivu.
 
Haha, M.P jamani umenikumbusha mbali, wakati mtongozo ulikuwa mtongozo haswa wa kupangwa vizuri na maua juu ambapo ki dume kinajiuma uma jinsi ya kuku approach...lol

Kuna mmoja huyo ile kuku ask out tu unapelekwa dinner kwanza, halafu kwenye dinner nako akaogopa kuongea akaomba eti twende for a ride kabla ya ku call a night halafu kwenye gari akaweka huu mwimbo. :D:D:D


Uuuwi we dada umeniliza huu wimbo nimeutafuta kweli asante jamaan naupeendaje sasa uuuuwiii

Uuuwii i wanna be your men, naupendaje aaa would be your men, i wanna be your man!

Wanaume wazamani wacha tu hawa wa sahivi watasubiri miaka 1000
 
Huku ni kubakwa Ki saikolojia haswa!
Cos kwenye mtongozo sifuri, halafu mdada akiingia kingi kidume kikapata anachotaka ndo basi tena wanaanza mbele halafu anaacha binti anaugulia maumivu.
Yani ni sheedah ya jamii
Acha Mheshimiwa asemage hapa kazi tu maana washazoea kubweteka maana hata kutongoza haujui si ukafanye tu kazi
Kiru ahahahaha
 
Back
Top Bottom