Msaada tutani: Kubakwa kisaikolojia

Msaada tutani: Kubakwa kisaikolojia

Uuuwi we dada umeniliza huu wimbo nimeutafuta kweli asante jamaan naupeendaje sasa uuuuwiii

Uuuwii i wanna be your men, naupendaje aaa would be your men, i wanna be your man!

Wanaume wazamani wacha tu hawa wa sahivi watasubiri miaka 1000


Acha tu yaani, hii ndio ilikuwa mitongozo haswaa!, mpaka mdada utafikiria mara kumi kumi kumkataa mtu. Maana heshima mbele.

Halafu sijui ni sisi tu, cos wenzetu wanashauri mpaka maneno ya kuongea ili U impress mtu.
Sio kama hawa anaanza kukuita mke wakati hata hajui last name yako. [emoji2]
 
kwani ,i uliponiambia haunitaki niliendelea (jokes)
huo sio ukweli unakuta ni wapenzi wake ila kaachana nao
Wani nyie wanaume nawaandalia thread nzuri sana mtakuja kunitunza pm

Mnaharibu mbayaaa hata baba zenu wanawalalamikia kuwa vijana hawataki kutuskia so sie tunawashkia mademu zao mpaka wapate akili
 
Acha tu yaani, hii ndio ilikuwa mitongozo haswaa!, mpaka mdada utafikiria mara kumi kumi kumkataa mtu. Maana heshima mbele.

Halafu sijui ni sisi tu, cos wenzetu wanashauri mpaka maneno ya kuongea ili U impress mtu.
Sio kama hawa anaanza kukuita mke wakati hata hajui last name yako. [emoji2]
Ahahahahha ni sheeedah!
Me mwenyewe jana nimeitwa mke nikachoka!
 
Yani me nikusaidie kusema wanaume wooote waliozaliwa kuanzia mwaka 86 mpaka 1999 ni matatizo kwenye kutongoza yani sifuri hamjui wachache sana nimeskia wako vizuri ila wengi wenu ninsheedah

Ila wanaume waliozaliwa miaka ya 85 kupanda juu, OMG utawapenda buree, ni gentlemens balaa! Akikupenda hauchomoki

Me ndio maana nasema michepuko kwa wanawake haitakaa iishe mpaka wanaume wenyewe mkachukue darasa kwa baba zenu la sivyo baba zenu wataendelea kutembea na mademu zenu si hamtaki kusikia maadili, lazima mtapigwa tuu
Anzia 80 kabisaa, yaani ni kizazi cha viduku na matatoo!!! Halafu sijui wana nini, lugha wanaongea ka wanarap.... Sio wote lakini sasa kutana na hawa wa 90 ni changamoto ingine
 
Anzia 80 kabisaa, yaani ni kizazi cha viduku na matatoo!!! Halafu sijui wana nini, lugha wanaongea ka wanarap.... Sio wote lakini sasa kutana na hawa wa 90 ni changamoto ingine
Ahahahaha, ume maanisha ni shida ingine sio?! huko hata staki kugusa nahisi ntapewa ban
 
du siku hiziii tunawamaliza adi kwenye txt tu unakutaaa tayar ukoo mushaharibuuuuuu kwelii kazii mnayooooo
 
As a man i agree with you but not go all men, you see kila kitu kina process trust me winning someone's attention and heart is the toughest task, sasa hapa ndo panapoibukia tatizo la kubakwa kisaikolojia kama mnavyoliita wanawake, alot of men i mean baadhi yao wanaruka process na kuhisi kila mwanamke anaemuona lazma tu ampate hapo tunajikuta tunakosa kuwa romantic na kuleta mvuto katika process ya kuwin affection, anyways kwa wenye vitabia hivyo tambueni mwanamke ni kama ua linalohitaji matunzo na umwagiliaji ili liweze chanua [emoji16][emoji16][emoji16], ujue vitu vingine hata kama wanaume hatuvijui bas tujifunze.
And to all ladies don't give your phone number randomly just bcoz you have just been asked, kama unajua situation yako either your in relationship or anything hii itakuletea cracks mwisho wa siku muendelee kulalamika kubakwa kisaikolojia unless uliyempa namba ulitarajia atakuwa kaka yako maybe [emoji23][emoji23][emoji23] which isn't true
 
Back
Top Bottom