Msaada: Tumetapeliwa!

smartphone sio tatizo hata ukiwa na sim ya torch bado una weza ibiwa vile vile usipo kua makini hii game naifahamu nje ndani beware

Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
 
Huu ndio ukweli! Wengi sana wanatumia hivo ulizoeleza na ndivyo wizi unapofanyika
 
soma hiz quotes kisha muhoji vizuri hakuna cha It wala Ict iliyo tumika apa

Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
 
Haya, umefanikiwa kutengeneza wezi wapya 500, hongera.
 
OK. Mkuu hili ni la kizembe. Sioni tahadhari yoyote uliyochukuwa. Ungemwambia alete mzigo ukiuona ndiyo umkabidhi cash. Na zaidi..... kujiepusha na utapeli siku zote epuka rahisi au short cut.
Kale kaneno...' sipokei hela ya mtu hadi nimkabidhi mzigo wake'.... kalinitoa kwenye umakini.
Hata hivyo ninakubali ulichosema ni uzembe nilifanya.
 


Inavyoonekana jamaa alivuruga mpangilio wa internet halaf akampa sim wife wako na kumwambia ajaribu app ikiwemo hizo za bank na hapo ndipo alipopata password, ilivyogoma ku access internet akamrudishia ili amrekebishie hapo ndipo jamaa alipofanya yake na kuhamisha mpunga, watz weng hatujielew kabisaaa we are so easy trusting everybody tubadilike!!!!!! we mtu haupo chuon unataka kifurush cha chuo cha nin????


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Haya, umefanikiwa kutengeneza wezi wapya 500, hongera.
mimi nime fanya awareness kwa wale ambao hawafahamu na sio jambo la siri kwamba wasijue na hili niliweza fahamu baada ya kuona video ya askari waki muhoji mmoja ya watuhumiwa aelezee jinsi wanavo ibia watu video ipo mtandaoni ime tapakaa..

Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
 
Kwa ishu ya passcode za bank nina waswas na hao wateja wawili wa mwanzoni kuwa walikuwa hapo kwa muda wakihudumiwa so walimsoma mtoahuduma code anazoingiza na kuna namna waliziwasilisha kwa huyo wakala aliyekujua.Yan kiufupi tukio zima lina dalili ya teamwork.
 
Mbona kuna video za porno nyingi zipo mtandaoni, umeshaekti ya kwako?
 
Smart phones huwa zina tabia ya kutunza password kwenye app ya Swiftkey sasa alipoomba simu arekebishe mtandao alitumia muda huo kuiba tena kwa haraka. Kwanini atoe simu ya biashara kumpa mtu asiyemjua hilo ni kosa kubwa mno limewagharimu.
 
Aisee, hili ni janga kubwa. Angalau tumepata elimu, ilà hapa umetengeneza bomu lingine.
 
ok wacha niondoe
Sidhani kama kuna haja ya kuondoa, kitu kipo hadi YouTube hata ukiondoa inasaidia nini, sidhani kama una kosa. Umenifumbua macho kishenzi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…