Kabisa mkuuu kuna laini kibao zinauzwaa kwa watu ambao sio Wamiliki halali...!!! Noma sanaa safari bado ni ndefu sio kitotoWewe uko nchi hii kweli? Utaratibu wa sasa ukisha provide nida id number hakuna tena swala la kupigwa picha bali una verify kwa fingerprints tu ivo hio line inayotumika kutapeli una sajili wewe mwenyewe bila kujua na inaenda kuuzwa kwa bei kama huamini kutana na wakala hawa wanaotembea muambie sina ID umsikie, Bongo we have long journey yani Elimu elimu elimu mtu .
Wewe si ni mtu pia??Ndio maana simu yangu hashiki mtu
Vipi tena,makofi kidogo au suspension?!Just connecting dots. Wife dezaini mtundu mtundu jamaa aende extra miles. Hata Kama hakuusika ila inaweza kumsaidia time nyingine.
Tupe tujifunze mkuu iko kisa chakoMkuu huu msiba ni wa jirani ndiyo maana unasema hivyo.
Hauwezi kupisha chambo cha tapeli, maana haukosi udhaifu wa kibinadamu na ndiyo fursa yao.
Wewe kama upo strong, basi washua hupitia hata kwa mama watoto ili akushawishi ulegee!
Tapeli hana sura wala rangi, yaani ni shetani anayekunasa kwa udhaifu wako wa sekunde1, ana uwezo wa kukulia mingo ya mwaka mzima kusubiria udhaifu wako wa sekunde!
Mimi ni mgumu na ni mjanja, lakini nikikusimulia kisa cha namna nilivyotapeliwa utastaajabu!
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahKuna mawili hapo
1. Mke kashirikiana na huyo tapeli, wanawake sio wa kuwaamini, kiufupi hakuna mtu unapaswa kumwamini kiasi kile.
2. Jamaa aliyetapeli ni mzuri kwenye IT na aefanya kazi kwenye hayo mabenki.
Sasa ili kutaka kujua kama huyo mke hajashiriki fanya kama unamwambia utaenda kwa Mganga wa Kienyeji Kigoma au Sumbawanga na ukazie hapo hapo uone anaitikiaje ..!? Ukiona anakuja na wazo la kuicrush hiyo ishu jua tayari mwizi unaye ndani kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
MaybeNinachoamini mimi huyo jamaa atakuwa ni IT wa hiyo mitandao ya simu, yaani alishafanya kazi huko then akafukuzwa au akaacha kwa hiyo siri nyingi na utaalam mwingi anaujua!
Watu kwa ramli chonganishi tuko vizuriHebu ongea nae tena wife kinaga ubaga mwandiko wake umenishtua
Sent from my iPhone using JamiiForums
Asante sana mkuu, nitafanyia kazi ushauri wako. Lakini unazungumziaje suala la kufungiwa access katika akaunti zote mbili ilhali passwords ni tofauti?Wakuu hii story kwangu bado nashindwa kuamini kama kweli hao jamaa wame break hizo security kirahisi simaanishi haliwezekani ila sio kirahisi ivo, Nashauri Point muhimu zaidi ni kuanza kuongea na Wife vizuri sana muite Sehemu msisikilize anavyojieleza, I smell something fishy hapo, simaanishi mke kakuzunguka ila watch her steps carefully hawa viumbe hawa hawa hawa hawa.
Ila swala la Internet àcces apo set upya tu au may be jamaa awe ali download firewall ya kuzinyima acces hizo app ila kwa inshu ya bank apo bado naumiza kichwa
Haha Mungu wetu sote mkuu, usikute yeye ndo kampa hiyo akili na ujasiri ili aweze kupata mkate wake wa kila siku. Sheria yake ni ngumu mno! Japo haizuii kupambana naye kibinadamu.
Unamuamini vipi wakala wa barabarani tena mtembea kwa miguu hana ofisi afu unampa simu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani kwa kuwa positive mkuuHapana wife hana kosa, ila ni uwizi mpya technology ni pana sana mkuu tusimgombanishae jamaa na mkewe
Asante sana ndugu. Huyu mtu ni hatari sana. Ningekuwa na kampuni kubwa au mamlaka makubwa serikalini ningemuajiri ili anikamatie wenzakeDah! Pole sana mkuu, ila huyo mwizi anastahili pongezi na medali juu, nchi inataka watu kama hao.
Duniani kuna vichwa mkuu, basi tu nchi zetu hazijamulikwa ipasavyo.Yani hapa bado nafkilia jamaa kafanyaje fanyaje,nashindwa kuelewa.
Kuna watu wabaya aisee.
Poleni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana mkuu. Nimepokea ushauri wako, utafanyiwa kazi accordingly. Bless up!Kuna msemo wa kiswahili unasema "Ukitaka kutafuta nyoka anza kumulika miguuni pako". Mkuu hebu pia mfinye wife kidogo maana kwahiyo attachment uliyoweka hapo naona Kama wife mjanja mjanja kiaina.
Mkuu usidharau hizo hisia, ni kweli kabisa..hawajapata upenyo tu. Tuendelee kuwa makini.saa nyingine hata mimi nahisi nadukuliwa nikimtumia mtu fedha...