Msaada; Tshs 85Mil, inajenga Ghorofa??

Kitakachoamua kama inatosha au haitoshi ni uimara wa msingi, zege la kati na aina ya paa.
Kiujumla jumla tu jibu rahisi ni kwamba mil 85 inatosha, lakini kuwa specific zaidi ni lazima tujue surface area ya ramani yako na ubora utakaochagua.

Ninaposema inatosha nabreak down hivi:
Msingi mil 20
Zege la kati mil 20
Matofali mil 15
Mchanga, Kokoto, Mawe, maji mil 5
Mazagazaga mengine (Ufundi, nondo, mbao, mirunda, misumali) mil 20
Dharura mil 5
 
Ramani ningeweza ku-attach hapa but sina soft copy yake.
But Nyumba ni vyumba vinne vya kulala, viwili juu Na viwili chini.
Library juu, wakati jiko Na stoo chini.
Self container ni kimoja cha juu tu.

Labda kama utamalizia na pesa nyingine lakini hiyo haitoshi kwa maelezo yako haya

Ukimpata fundi yeyote kwa haraka haraka atakwambia inatosha kwasababu anataka kazi lakini nakuhakikishia utachemsha kwenye finishing
 
Kitakachoamua kama inatosha au haitoshi ni uimara wa msingi, zege la kati na aina ya paa.
Kiujumla jumla tu jibu rahisi ni kwamba mil 85 inatosha, lakini kuwa specific zaidi ni lazima tujue surface area ya ramani yako na ubora utakaochagua.

Ninaposema inatosha nabreak down hivi:
Msingi mil 20
Zege la kati mil 20
Matofali mil 15
Mchanga, Kokoto, Mawe, maji mil 5
Mazagazaga mengine (Ufundi, nondo, mbao, mirunda, misumali) mil 20
Dharura mil 5

Mkuu, hapo na gharama ya fundi na vibarua imo vile vile? Vipi Plumbing na wiring mkuu au sio sehemu ya nyumba kukamilika? Vipi lipu na sceptic tank n.k. Nafikiri mwambie ukweli huyu Bwana kwamba milioni 85 hazitoshi kujenga ghorofa!!!!!

Tiba
 
Mkuu, hapo na gharama ya fundi na vibarua imo vile vile? Vipi Plumbing na wiring mkuu au sio sehemu ya nyumba kukamilika? Vipi lipu na sceptic tank n.k. Nafikiri mwambie ukweli huyu Bwana kwamba milioni 85 hazitoshi kujenga ghorofa!!!!!

Tiba


Tiba, ndio maana nimesema inategemeana na surface area na quality ila kuwezekana inawezekana.
 
Baada ya post hii, mtamuona kule MMU akitafuta mchumba!

Chambo chako nimekikubali, angalia kisije kikavuwa mapapa upanga tu.
 
baba ke huwezi jenga ghorofa ya maelezo ya ramani unayotaja hapo ,ukianza mwisho utauza hujapaua alafu ,maandiko yatatimia kwako ,ulipaswa kufanya hesabu kabla ya kuanza ujenzi ujue fungu lako li tafikia wapi usije chekwa ,jenga kwa 50ml tunza balance kwa mradi uishi tungoje kufa .
 
Mkuu, sitaki kukukatisha tamaa lakini ukweli kwa nyumba unayotaka ili ifikie angalau hatua ya kukalika andaa si chini ya mil 150. Mil 85 haitoshi. Bei ya vifaa vya ujenzi viko juu sana
 
ujenziwa jengo la aina hiyo huwa na taratibu zake ambazo hata kabla hujaanza ujenzi hugharimu,unahitaji michoro ya usanifu i.e architectural drwngs,michoro ya chuma i.e structural drawngs na umeme pia mfumo wa maji,utakiwa kupata kibali i.e building permit,jengo hilo linahtaji usimamiz wa wataalam archtect na str.eng pia contractor na wote lazma uingie nao makubaliano ili wasajili ktk bodi zao,then ujenz uanze tayari hatua hzo waweza kupoteza kama ten mil au zaid,so kiasi hicho hakiwez kukufikisha mbali japo utafika pahala.jaribu kuna namna ya kuongeza walau ifike 120 naweza kukupa mawazo namna ya kutimiza ndoto yako njema.kila la kheri!
 
Well i used to have the same mind set when i was building my first house,kujenga nyumba ya hadhi kulingana na eneo.....ukweli wa mambo nyumba ya kushi mwenyewe ya thamani kuubwa wakati wewe bado mtafutaji hailipi......so ukishajenga hilo ghorofa lets say ukamaliza kwa uwezo wa mungu,je utakaa mwenyewe au utapangisha kuigiza kipato,na kama utapangisha kwa bei gani ambayo italipa kama investment?......nadhani ni bora kuangalia tija zaidi......kama vp hicho kiwanja Kiwekee uzio hata senyenge na edge ya michongoma after three years kitakuwa na bei pouwa kabisa,at the same time nunua kiwanja maeneo ambayo kuna mahitaji ya makazi kwa watu wenye kipato cha kati jenga simple houses!
Ahsante sana kaka.
Tatizo maeneo ambayo yenye demand kubwa ya wapangaji ni yale ya katikati ya mji au hata Sinza, Kijitonyama, Magomeni, nk ambapo Kiwanja tu bila zaidi ya 100Mil hupati
 
JF, kuna watu wa kila aina. lakini nakushauri, kwanza sio vizuri kutangaza hela uliyonayo. pili kuwa makini na pesa hiyo, itakuja kukuumbua. tatu tafuta wakandarasi, waombe ramani au nenda kwa wachora ramani, nunua ramani utakayovutiwa, halafu peleka kwa mkandarasi. mkandarasi atakadiria shekeli zinazohitajika kukamilisha ujenzi, ukiridhika naye mpe kazi hiyo, saini mkataba kazi ianze.
 
JF, kuna watu wa kila aina. lakini nakushauri, kwanza sio vizuri kutangaza hela uliyonayo. pili kuwa makini na pesa hiyo, itakuja kukuumbua. tatu tafuta wakandarasi, waombe ramani au nenda kwa wachora ramani, nunua ramani utakayovutiwa, halafu peleka kwa mkandarasi. mkandarasi atakadiria shekeli zinazohitajika kukamilisha ujenzi, ukiridhika naye mpe kazi hiyo, saini mkataba kazi ianze.
Kaka hao wakandarasi sio ndo wana bei ya kuua kabisa?
 
Kaka hao wakandarasi sio ndo wana bei ya kuua kabisa?
huendi kwa mmoja, unatembelea wakandarasi kadhaa. ndo watakujengea nyumba nzuri. gorofa huwezi kujenga kwa kutumia mafundi wa kawaida, unatumia makndarasi ili yeye aajiri mafuni wa kawaida
 
Well i used to have the same mind set when i was building my first house,kujenga nyumba ya hadhi kulingana na eneo.....ukweli wa mambo nyumba ya kushi mwenyewe ya thamani kuubwa wakati wewe bado mtafutaji hailipi......so ukishajenga hilo ghorofa lets say ukamaliza kwa uwezo wa mungu,je utakaa mwenyewe au utapangisha kuigiza kipato,na kama utapangisha kwa bei gani ambayo italipa kama investment?......nadhani ni bora kuangalia tija zaidi......kama vp hicho kiwanja Kiwekee uzio hata senyenge na edge ya michongoma after three years kitakuwa na bei pouwa kabisa,at the same time nunua kiwanja maeneo ambayo kuna mahitaji ya makazi kwa watu wenye kipato cha kati jenga simple houses!
bhatu bana!
Mtu kackwambia anataka nyumba ya kuishi wdwe unamshauri ya kupangisha, unajuaje hiyo ya wapangaji
tayari anayo au haitaji?
Chaajabu unamshauri na kiwanja auze baadae haitaji hayo yeye anachotaka ni gorofa
 
Wadau,
Nimebahatika kupata Tshs 85mil Kama urithi baada ya kuuza Nyumba yetu iliyoko katikati ya jiji,
Ndoto yangu ni kujenga Nyumba ya Ghorofa kupitia hela hii, Na Kiwanja kilichopimwa tayari ninacho,
Nauliza tu kwa mgao huu naweza kupata Nyumba ya Ghorofa 1 kwa mahesabu ya Fundi + Materials??
kakaangu kwa hiyo hela yako mimi najenga mijengo miwili ghorofa pamoja na kaself sehemu nyingine,
kagorofa kakuishi hakali pesanyingi kama migorofa ya biashara, ila usiwaambie mafundi hela ipo jifanye unaokoteza
 
bhatu bana!
Mtu kackwambia anataka nyumba ya kuishi wdwe unamshauri ya kupangisha, unajuaje hiyo ya wapangaji
tayari anayo au haitaji?
Chaajabu unamshauri na kiwanja auze baadae haitaji hayo yeye anachotaka ni gorofa

Kwa saikolojia ya binadamu,kama ni mtu mwenye pesa isiyo ya mawazo wala hasingekuja kuomba ushauri,kwakuwa inaonyesha bado ni mtafutaji ndio maana nimemshauri ajenge nyumba simple ambayo inaweza mwigizia kipato......maana ya ushauri sio kuambiwa unachotaka kusikia eboo,wewe vp.....hivi vitoto vya fb bwana,au nawe ulitaka tu kujibishana?
 
kwanza hongera kwa kubahatika kupata hiyo hela mkuu (wengine hadi wanakufa hawajawahi kupata hiyo hela kwa mkupuo mmoja), pili unafanya jambo jema kujipanga na kutafuta ushauri kabla ya kufanya matumizi, na tatu naomba nikushauri uonane na wataalam wa makampuni mbalimbali ya ujenzi katika mji uliopo mfano SUMA JKT, NHC, na wengineo ili kupata ushauri wa kitaalam zaidi (haitakugharimu kiasi kikubwa kama unavyofikiri). Na mwisho unaweza kwenda pale chuo cha ARDHI ukaonana na wanafunzi wanaosomea course zinazohusu maswala ya ujenzi wakakusaidia kufanya survey, building economy, kukuchorea ramani ya jengo unalotaka kujenga, kukudesignia jengo lako na kukupa ushauri mwingine kwa gharama nafuu zaidi.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom