adsense master
Senior Member
- Mar 12, 2019
- 107
- 171
Habari za jioni watu wa mungu poleni na mihangaiko ya siku nzima,
Hivi ni sahihi kwa gari yenye cc 1790 kula mafuta kiasi hcho au ni gari yangu tu,maana juzi nlikuwa na jamaa yangu anadai ni mafuta mengi sana hayo jaribu kuichek.
Je ni sawa au? Na kama sio sawa nini kifanyike?
Hivi ni sahihi kwa gari yenye cc 1790 kula mafuta kiasi hcho au ni gari yangu tu,maana juzi nlikuwa na jamaa yangu anadai ni mafuta mengi sana hayo jaribu kuichek.
Je ni sawa au? Na kama sio sawa nini kifanyike?