JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,327
- 9,321
Mkuu upo vizuri, huwa unapima bei gani ili siku moja nisogee hapo unikagulie chuma changu chakavu toka ujapani 😁
Engine napima kwa 30,000/=
Full systems ni 50,000/=
Mkuu upo vizuri, huwa unapima bei gani ili siku moja nisogee hapo unikagulie chuma changu chakavu toka ujapani 😁
Poa... Karibu.Ahaa hapo lazma nitapita siku yoyote ntakukumbusha tu.
Okay mkuu ngj tujichange changeEngine napima kwa 30,000/=
Full systems ni 50,000/=
Huyu mshkaji at least naona ndiye fundi anayejielewa kidogo humu JF,wengine ni full ukanjanja hata kutaja bei kwao ni ishu pamoja na ujuaji mwingi-Yupo so maturedAhaa hapo lazma nitapita siku yoyote ntakukumbusha tu.
Ningeshangaa kama usingechangia huu uziYangu pia huwa inanipa 9km/l plug zikiwa mpya, zikichoka inakuwa chini ya hapo.
Sasa cha kushangaza ni nini mzee au wewe roho inakuuma mimi kushiriki mada JF?Ningeshangaa kama usingechangia huu uzi
Yah, jamaa anajiamini hatilii mashaka kabisa! Plus anajua anachokifanya.Huyu mshkaji at least naona ndiye fundi anayejielewa kidogo humu JF,wengine ni full ukanjanja hata kutaja bei kwao ni ishu pamoja na ujuaji mwingi-Yupo so matured
Huyo mshkaji angekuwa US angeshakula chuma,US watu hawatakagi habari za kufatiliana kabisa.Sasa cha kushangaza ni nini mzee au wewe roho inakuuma mimi kushiriki mada JF?
Na wala hatakiwi kututambiaDiesel sio gari ya kula mafuta mkuu
SamahaniSasa cha kushangaza ni nini mzee au wewe roho inakuuma mimi kushiriki mada JF?
Ooh! Kwa bahati mbaya hamjanielewa... Extrovert tumekutana sana kwenye mada za magari, so funny to me..! Ndio nimesema hivyo namfahamu mzee wa 1Zz...! No hard feelings mzeeHuyo mshkaji angekuwa US angeshakula chuma,US watu hawatakagi habari za kufatiliana kabisa.
Ooh! Ya kishambenga... Sawa mkuuNimemshangaa sana na comment yake ya kishambenga yani 😂😂😂 kwani hapa cha ajabu nini watu wakishare experience zao!
Sure, I think it was just a misunderstanding. Asante sana kwa ufafanuzOoh! Kwa bahati mbaya hamjanielewa... Extrovert tumekutana sana kwenye mada za magari, so funny to me..! Ndio nimesema hivyo namfahamu mzee wa 1Zz...! No hard feelings mzee
Bless upSure, I think it was just misunderstanding. Asante sana kwa ufafanuz
Pole sana mzee, kuna watu huwa wanakujaga kuinjoy wenzao humu, Huwa nawatoleaga mbavuni!Ooh! Ya kishambenga... Sawa mkuu
Indeed bro, huwa kuna watu wanakujaga kupima wenzao imani ndio wanapelekea mkanganyiko kama hivi maana huwa i cut them off mapema sana.Sure, I think it was just misunderstanding. Asante sana kwa ufafanuz
Bless up mzee..! Tuendelee kupeta na mjapanPole sana mzee, kuna watu huwa wanakujaga kuinjoy wenzao humu, Huwa nawatoleaga mbavuni!
Nisamehe pia kama nimekukwaza mzee. I never knew you were my fan bro! Tuyamalize kiume tu 🙏
pamoja sana man!Bless up mzee..! Tuendelee kupeta na mjapan
Yes, roughly huwa ninapata 12km/l nikiwa highway. Ilibidi niachane na plugs za mitaani, nikaenda Toyota pale Msimbazi. Plug moja elfu 45.Mi huwa nazima kabisa maana foleni ni maumivu 😂😂😂 kwangu nakula zangu mziki tu!
1ZZ-FE imelengwa ikupe 8KM/L economy ikiwa town trips so ikikupa 7KM sio mbaya ni sababu ya wear and tear impact plugs ama air cleaner! Ukibadili plug na cleaner au MAF sensor inaweza kurudi 8KM/L au zaidi ila highway inakula vizuri tu lazma ikupe 12KM/L
Kwa hiyo hapo umeona tambo, sio?Na wala hatakiwi kututambia