Aina gani mkuu, Denso au NGK?Yes, roughly huwa ninapata 12km/l nikiwa highway. Ilibidi niachane na plugs za mitaani, nikaenda Toyota pale Msimbazi. Plug moja elfu 45.
Kuna muhindi mmoja anataka aniuzie kwa Tsh 25k pale mitaa ya Kisutu aina ya Denso, sasa sijui ni SEMI-ORIGINAL au vipi? Lakini angalau Wahindi wana unafuu kwa bidhaa zao, hata simu ni mara chache kuchakachua au uchakachuzi wao kidogo wana huruma. Ukienda Kariakoo ukaingia kichwa kichwa utachakachuliwa na wabongo mpaka ushike kichwa