Ulaji wa mafuta kwenye gari toyota allex

Mshasha wane

JF-Expert Member
Oct 16, 2014
231
595
Ndugu zangu habari za mihangaiko. Nimekuwa nikifanya utafiti juu ya ulaji wa mafuta kwenye gari toyota allex na nimegundua kuwa gari inatumia lita moja katika km 11 (/l).

Route zangu ni kisiwani kigamboni kwenda posta kupitia darajani. Naomba kujua je huu ulaji ni sahihi au gari yangu itakuwa na shida?
 
Ndugu zangu habari za mihangaiko. Nimekuwa nikifanya utafiti juu ya ulaji wa mafuta kwenye gari toyota allex na nimegundua kuwa gari inatumia lita moja katika km 11 (/l).

Route zangu ni kisiwani kigamboni kwenda posta kupitia darajani. Naomba kujua je huu ulaji ni sahihi au gari yangu itakuwa na shida?
Kwa mjini inaweza kuwa sawa kati ya Km 11-12/lita.

Kwa sababu kwa highway unaweza pata kati ya Km 14-16/Lita.

Umeanza kuitumia lini? Ni mpya umenunua mwenyewe kwa maana Used toka Japan au umenunua kwa Mtu, kwa maana Used hapa Bongo?
 
Kwa mjini inaweza kuwa sawa kati ya Km 11-12/lita.

Kwa sababu kwa highway unaweza pata kati ya Km 14-16/Lita.

Umeanza kuitumia lini? Ni mpya umenunua mwenyewe kwa maana Used toka Japan au umenunua kwa Mtu, kwa maana Used hapa Bongo?
Mkuu hii ni used nilinunua kwa mtu na nnayo zaidi ya mwaka sasa
 
Kaifanyie service maeneo yote muhimu yanayorelate na ulaji wa mafuta.

1.Badili tairi kama zimekwisha na uweke upepo kwa usahihi.

2. Badili plugs zote nne. Weka mpya. Soma user manual ya hiyo gari utaona kiwango cha umeme pendekezwa cha aina ya plug ya kuweka.

3. Badili air cleaner weka mpya kama ya zamani inaonesha kuwa haipo kwenye hali nzuri.

4. Tazama kama MAF sensor ipo sawa. Tazama na sensor nyingine kama zipo sawa kama oxygen sensor.

5. Weka engine oil sahihi ya engine ya hiyo gari. Tazama user manual utaona wameandika.

6. Unapokuwa unaendesha gari kuwa makini na uchocheaji wako wa mafuta. Kuna ile unaondoka sehemu unakanyaga kwa nguvu ili gari ikimbie hiyo sio sawa. Unatakiwa ukanyage taratibu gari itakuwa inakwambia yenyewe uongeze kukanyaga kulinagana na power inavyoongezeka katika engine na gear zinavyopanda.
 
th
Kaifanyie service maeneo yote muhimu yanayorelate na ulaji wa mafuta.

1.Badili tairi kama zimekwisha na uweke upepo kwa usahihi.

2. Badili plugs zote nne. Weka mpya. Soma user manual ya hiyo gari utaona kiwango cha umeme pendekezwa cha aina ya plug ya kuweka.

3. Badili air cleaner weka mpya kama ya zamani inaonesha kuwa haipo kwenye hali nzuri.

4. Tazama kama MAF sensor ipo sawa. Tazama na sensor nyingine kama zipo sawa kama oxygen sensor.

5. Weka engine oil sahihi ya engine ya hiyo gari. Tazama user manual utaona wameandika.

6. Unapokuwa unaendesha gari kuwa makini na uchocheaji wako wa mafuta. Kuna ile unaondoka sehemu unakanyaga kwa nguvu ili gari ikimbie hiyo sio sawa. Unatakiwa ukanyage taratibu gari itakuwa inakwambia yenyewe uongeze kukanyaga kulinagana na power inavyoongezeka katika engine na gear zinavyopanda.
thanks
 
Back
Top Bottom