Lukaku marata
JF-Expert Member
- Dec 4, 2019
- 448
- 748
Wadau napenda kujua kuhusu hii gari yangu cc 990 kuhusu fuel consuptiom nimeweka mafuta ya 20k nikatembea nayo kwa umbali wa km 55.1 mafuta yakakata kabisa.
Ningependa kujua ni pia kuwa odometers zinadanganya au je pia kwa hiyo distance ni sahihi au kuna shida. Mafuta ya 20 ni sawa na litre 7.1.
Msaada tafadhali
Ningependa kujua ni pia kuwa odometers zinadanganya au je pia kwa hiyo distance ni sahihi au kuna shida. Mafuta ya 20 ni sawa na litre 7.1.
Msaada tafadhali