mshamu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 418
- 133
Nalipenda sana jukwaa hili kwa kuwa kunawataalamu ambo wamejitolea kuwasaidia wengine kwa upendo mkubwa. Mimi pia ni mmoja wa watu walinufaika na jukwaa hili.
Leo naomba msaada toka kwenu nahitaji kununua router ambayo itanisaidia kukonect Computer kama tano hivi. Hiyo router iwe na uwezo wa kuwekwa moderm halafu isambaze kwenye hizo computer kwa kutumia wire. Jamani hapo ndiyo mwisho sijui nimeeleweka. Naomba mawazo na ushauri wenu.
Leo naomba msaada toka kwenu nahitaji kununua router ambayo itanisaidia kukonect Computer kama tano hivi. Hiyo router iwe na uwezo wa kuwekwa moderm halafu isambaze kwenye hizo computer kwa kutumia wire. Jamani hapo ndiyo mwisho sijui nimeeleweka. Naomba mawazo na ushauri wenu.