js52471224
Member
- Oct 8, 2017
- 36
- 15
Habari ndugu jamaa na marafiki kwenye hili jukwaa sheria, niende kwenye Maada moja kwa moja. Nilikuwa nimesafiri kurudi nikakuta eneo langu lenye ukubwa Wa eka 5 eka 3 nimepanda miti aina ya paina mikubwa eka 2 ndio nalima limesafishwa kwa ajili kuaza ujenzi Wa secondary.
Nikaenda ofisini kumuona mtendaji Wa kijiji mwenyekiti wakaniambia watu wamejitolea maeneo bure. Mimi nikawambia eneo langu sitoi bure nataka fidia, wakasema sawa wananitafutia eneo lingine. Lakini sasa toka mwezi 5 2023 mpaka Leo mwezi 11 2023 kimya, kila nikifatilia wanasema nisubiri.
Natayari walisha kabizi eneo kwenye uongozi Wa kata, natayari wanaendelea na majengo secondary. Naomba msaada wenu ilinilipwe fidia nikafungue kesi kwenye mahakama ipi, ya mwanzo au ya wilaya? Namna ya kufungua hii kesi? Nitashukuru msaada wenu.
Nikaenda ofisini kumuona mtendaji Wa kijiji mwenyekiti wakaniambia watu wamejitolea maeneo bure. Mimi nikawambia eneo langu sitoi bure nataka fidia, wakasema sawa wananitafutia eneo lingine. Lakini sasa toka mwezi 5 2023 mpaka Leo mwezi 11 2023 kimya, kila nikifatilia wanasema nisubiri.
Natayari walisha kabizi eneo kwenye uongozi Wa kata, natayari wanaendelea na majengo secondary. Naomba msaada wenu ilinilipwe fidia nikafungue kesi kwenye mahakama ipi, ya mwanzo au ya wilaya? Namna ya kufungua hii kesi? Nitashukuru msaada wenu.