Msaada: Tatizo katika Samsung Grand Prime

Msaada: Tatizo katika Samsung Grand Prime

Mmh lakin nilitembelea link 1 zna be unlocked na furious gold

Ukifuata Online Unaweza Kuliwa Pesa Yako Bure Kuna Vifaa Mafundi Tunakuwa navyo Ndio Unatumia So Kuna Baadhi Ya Result Ikitokea Unajua Kabisa Hii kwanini Imekuwa Hivi
Nitumie Imei YAke Hapa Nione
 
97dcc40b1f54f0d78e1132f0bf7947cd.jpg
 
cjawahi kukutana na hyo cmu kwenye kazi zangu kwahyo cwezi coment km inawezekana au bado... je wew ni fundi au mtumiaji wa kawaida mkuu?, na kama ni fundi hebu jaribu kutumia flash box yoyote yenye uwezo wa kutoa simlock kwa mtk chipset then uone km itatoka au vp...
 
1.Kuwa sawa kwa imei na simu nyingine haiwezi kufunguwa kamwe maana mie natumia simu haukulipiwa ushuru ikafungiwa na nimeiwekea imei za simu ya tecno na ninaitumia safi tu.
2.badili laini zingine uone je nertwok inapanda?
3.ikigoma i-ristall simu na kisha jaribu tena zoezi namba mbili.
ikigoma hapo kwa kuwa hauna kifaa cha kupimia fanya hivi ili ujue kama ni tatizo la hardware ama software
-Download ODIN
-Download Firmware ya Simu Yako
-Download USB Driver za Samsung
-Kisha Soma Maelezo how To Use ODIN Hapo Utaweza Kuiflash Simu Yako.
4.Sasa Kama Umefanya option namba 3 Afu imegoma Basi jiandae Kama Elfu 25-35 utaenda kwa fundi kuna kifaa fullani Cha Nertwok Kinakuwa Kimekufa Na hili Ni mojawapo ya Tatizo Kubwa La Simu Za Samsung
Acha kupotosha watu hapa wewe unaongelea hizo mtk cpu ama spd cpu ambozo unaweza temper na imei zake siyo kwenye samsungu ambazo zinatumia certificates Kwanza unachofanya ni kosa kisheria
 
Acha kupotosha watu hapa wewe unongelea hizo mtk cpu ama spd cpu ambozo unaweza temper na imei zake siyo kwenye samsungu ambazo zinatumia certificates Kwanza unachofanya ni kosa kisheria

nani anapotosha?
We jamaa haujielewi nini?
Kosa Gani Kisheriaaaaa?
Sheria YA Mwaka gani na Nina Kosa ganiii?
Inamaaana kuiflash simu ni kosa kisheria ama kubadilisha kifaa kilichokufa kinachotumia nertwork?
Wewe Wawapi kwanzaaaaa?
Afu siku nyingine usirudie kabisa kunireply umenichefua kuropoka kuwa kosa afu hata hausemi kosa gani.
JIheshimu Brooo
 
nani anapotosha?
We jamaa haujielewi nini?
Kosa Gani Kisheriaaaaa?
Sheria YA Mwaka gani na Nina Kosa ganiii?
Inamaaana kuiflash simu ni kosa kisheria ama kubadilisha kifaa kilichokufa kinachotumia nertwork?
Wewe Wawapi kwanzaaaaa?
Afu siku nyingine usirudie kabisa kunireply umenichefua kuropoka kuwa kosa afu hata hausemi kosa gani.
JIheshimu Brooo
Nenda TCRA watakupa maelekezo ama tembelea hapa:Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) Hata huko kwingine siyo Tanzania tu ni kosa kisheria kubadili imei (But imei do corrupt there is an option to rebuild imei) or imei repair
 
Back
Top Bottom