Wadau nilikuwa naomba kuliza yafuatayo mimi si mtaalam sana wa mbao hayaa ya technologya ila ndio nimekuwa nikitaka kufahamu mambo na kujifunza maswali yangu ni haya mawili 1.Ofisini kwetu tunatumia wireless network nanilikuwa nataka ku-update Laptop yangu kupitia wirelessnwtwork ya hapa ofisini nihatua zipi za kufanya niweze ku-update hii laptop.