Msaada tafadhari : Kuhusu shahada ya " rural development " SUA

Msaada tafadhari : Kuhusu shahada ya " rural development " SUA

mwanachi huru

Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
30
Reaction score
8
wasalam
kama kichwa kinavyojieleza naomba msaada kujua field kozi hii kujiajiri au kuajiriwa ( hasa kwa wahitimu na wenye uelewa wa kozi hii).
pia nataka kujua kama ina tofauti na bachelor in regional development plan management ya chuo cha mipango
nahitaji msaada wenu ili niweze kuchagua kozi kati ya hizo ni miongoni mwa kozi ninazotaka omba second batch

nitashukuru kwa mtakao nishauri
 
Kuna rafiki yangu alisoma rural dvlp mipango haina ajira n bora usome economic dvlp
 
mkuu, vipi kuhusu hii ya sua ?
Hiyo sifahamu ila hiyo course ya rural dvlpmnt n bora economic dvlpmnt ina ajira utapata hata kazi kwenye miradi...rural usijaribu iwe ya sua iwe ya mipango labda kama unaipenda sana
 
Kuna rafiki yangu alisoma rural dvlp mipango haina ajira n bora usome economic dvlp
Acha kudanganya watu hyo ya mipango inaitwa rural DVP and planning ila sua inaitwa rural DVP kwanza afu ujue tofautisha kati ya sua na mipango ajira sipo usifananishe MTU wa mipango akikosa ajira ndo na wa sua amekosa hyo ni upotoshaji.
 
Ajira zipo tena za kumwaga Nina marafk zang weng tu wamesoma hiyo coz na saiv akuna ambae yupo mtaani wote wameajiriwa
Na walimaliza sua
wasalam
kama kichwa kinavyojieleza naomba msaada kujua field kozi hii kujiajiri au kuajiriwa ( hasa kwa wahitimu na wenye uelewa wa kozi hii).
pia nataka kujua kama ina tofauti na bachelor in regional development plan management ya chuo cha mipango
nahitaji msaada wenu ili niweze kuchagua kozi kati ya hizo ni miongoni mwa kozi ninazotaka omba second batch

nitashukuru kwa mtakao nishauri
 
Back
Top Bottom