Msaada kwa walliosoma M.A/Postgraduate ya Rural Development

MWANAKB

Member
Jun 21, 2015
51
18
heshima kwenu wakuu!
Naombeni msaada wa mawazo ndugu zangu. Miongoni mwa malengo yangu mwaka huu ni pamoja na kujiendeleza ki elimu. Natamani sana kujiendeleza kwa kusoma Rural Development lakini kwa bahati mbaya nimekosa taarifa sahihi kutoka vyanzo vya kuaminika kuhusu urahisi wa kuajirika(tafadhari kumbuka si kila mtu ana uwezo/talanta ya kujiajiri na kutengeneza ajira), na maslahi yake yakoje. Natanguliza shukrani zangu kwa mtakao changia mawazo yenu kwani ni ya muhimu sana.

NB. sifa za kusoma Masters ya course hiyo ninazo
 
heshima kwenu wakuu!
Naombeni msaada wa mawazo ndugu zangu. Miongoni mwa malengo yangu mwaka huu ni pamoja na kujiendeleza ki elimu. Natamani sana kujiendeleza kwa kusoma Rural Development lakini kwa bahati mbaya nimekosa taarifa sahihi kutoka vyanzo vya kuaminika kuhusu urahisi wa kuajirika(tafadhari kumbuka si kila mtu ana uwezo/talanta ya kujiajiri na kutengeneza ajira), na maslahi yake yakoje. Natanguliza shukrani zangu kwa mtakao changia mawazo yenu kwani ni ya muhimu sana.

NB. sifa za kusoma Masters ya course hiyo ninazo
Kama una sifa za kusoma Masters sasa Postgraduate dip unaitaka ya nin...nenda kasome Masters
 
Kama una sifa za kusoma Masters sasa Postgraduate dip unaitaka ya nin...nenda kasome Masters

nashukuru kwa mchango wako jemedary, lakini naona kama hujanielewa vizuri.....sijasema nataka kusoma postgraduate bali nimeomba msaada kwa watu waliosoma kozi hiyo ikiwa ni pamoja na wenye level hiyo ya postgraduate kwani naamini kwa walioamua kusoma postgraduate hiyo huenda waliona fursa kubwa huko na si vibaya kushirikishana
 
Back
Top Bottom