both teams to score-YES
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 963
- 1,847
Wakuu mmeamkaje, nina masuala mawili nahitaji msaada wa mawazo yenu
1) Wife amejifungua kwa operation watoto 2, sasa aliposhonwa, kesho yake tumbo likavimba sehemu. Alipopimwa Ultrasound dokta akasema ana uvimbe ktk kizazi. Hivi inawezekana kweli? Kwanini during operation hakuuona?
2)Wife ameruhusiwa hospitali na kupewa dawa za kuongeza damu, ila leo kaamka kaenda chooni katoa choo kikubwa cheusi kama lami.. Nini tatizo wakuu?
Asanteni.
1) Wife amejifungua kwa operation watoto 2, sasa aliposhonwa, kesho yake tumbo likavimba sehemu. Alipopimwa Ultrasound dokta akasema ana uvimbe ktk kizazi. Hivi inawezekana kweli? Kwanini during operation hakuuona?
2)Wife ameruhusiwa hospitali na kupewa dawa za kuongeza damu, ila leo kaamka kaenda chooni katoa choo kikubwa cheusi kama lami.. Nini tatizo wakuu?
Asanteni.