Daole
Senior Member
- Sep 23, 2010
- 161
- 109
Kwa yoyote anaelewa naona ufafanuzi tafadhali.
Mimi ni miongoni niliekosa mkopo lakini baada ya kuangalia breakdown za heslb nimekuta jina langu lipo kwenye kundi la Previous loanees. Hapa sielewi bodi wamemaanisha nn kuwa wanaendelea kunipa mkopo ie nipo chuo au kwa kuwa mwaka uliopita niliomba chuo na mkopo lakini sikuweza kujiunga na chuo hivyo nafasi yangu mwaka huu ipo. Naomba ufafanuzi wanajamvi...
Mimi ni miongoni niliekosa mkopo lakini baada ya kuangalia breakdown za heslb nimekuta jina langu lipo kwenye kundi la Previous loanees. Hapa sielewi bodi wamemaanisha nn kuwa wanaendelea kunipa mkopo ie nipo chuo au kwa kuwa mwaka uliopita niliomba chuo na mkopo lakini sikuweza kujiunga na chuo hivyo nafasi yangu mwaka huu ipo. Naomba ufafanuzi wanajamvi...