Msaada Tafadhali.

Msaada Tafadhali.

Nyagalu blood

Member
Joined
Feb 3, 2019
Posts
5
Reaction score
13
Ni wiki sasa nimejiunga nanyi kwenye hii jamii forum ..nimekuwa nikileta mada,tatizo linakuja kwenye ku reply kila nikijaribu naletewa maneno haya "your account is currently pending for admin approval" tatizo nini hasa au sitakiwi kureply comments za watu?

Wajuzi nijuzeniii!!

Asante naomba kuwasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wiki sasa nimejiunga nanyi kwenye hii jamii forum ..nimekuwa nikileta mada,tatizo linakuja kwenye ku reply kila nikijaribu naletewa maneno haya "your account is currently pending for admin approval" tatizo nini hasa au sitakiwi kureply comments za watu?

Wajuzi nijuzeniii!!

Asante naomba kuwasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo nini, kidhungu au? Maana tayari ushaelezwa.
 
unatakiwa unitumie PM vocha ya voda ya sh. 2000 ili tutatue tatizo lako
 
Back
Top Bottom